Gharama walizotumia CCM kuwalipa Wanamuziki

Gharama walizotumia CCM kuwalipa Wanamuziki

Hata mimi naweza kutengeneza yng, nikaweka hapa nikasema ni malipo ya wasanii...
 

alafu wale makatibu kata wao wanatembea kwa miguu kutwa mzima hata maji ya kunywa hakuna.

Tra mpo ? 380.000.000 x64= 24.320.000.000tsh.

Paye kama mnawakata wafanyakazi 13% in excess of 170.000tsh hapo angalau panadol kadhaa hatukosi kwenye hizo mabilioni

ocampo four



tra wamelala
 
Last edited by a moderator:
Aliyeandika ajitambui, imekaa kipropaganda sana, lete hoja muhimu kuelekea uchaguzi mkuu
 
Acha uongo wewe, yaani unadraft upuuzi wako alafu unataka kuuaminisha UMMA ujinga wako. Hata malipo ya buku moja watu wanasainishwa iweje leo mtu alipwe hela zote hizo bila sahihi.
 
AISEE HII HINCH NI YA HOVYO SANA. Uwadilifu wa Magufu ukowapi kutumia Gharama kubwa kiasi hiki kwenye kampen?
 
Hivi fedha ambazo ukawa wanatumia katika kuzunguka na chopa nchi nzima na maposho wanayogawana kina mbowe na watu wake si wangejenga wao hizo zahanati, wakanunua wao hayo madawati, pamoja wakasaidia kuwalipa walimu ili wananchi wawape consideration kuwa wao ndio viongozi imara kuliko porojo na pumba wanazozitoa sasa hivi
 
Hela zetu za kodi na maliasili za nchi, ndio zinachezewa hivyo, halafu ati wanataka tuwachague waendelee kutawala ..... natamani tarehe 25 ingekuwa kesho...
 
Hivi inaonekana Jf kuna baadhi ya watu hawana kazi za kufanya nini, mtu anakuja na list yake yakufikirika isiyo na muhuri wa chama,sahihi ya mlipaji na mpokeaji wala tarehe ya malipo eti great thinker anakuja nakuchangia kinazi tu pumbaavu kbsa.Ocampo zero unajishusha mkuu.
 
Soma vizuri hiyo budget sio ya siku moja na hiyo hela siyo ya serikali ni ya CCM

jinga sana. Kodi yako unasema ya ccm. Wafanyabiashara wangap wanadai efd's zinawaumiza?, wakulima wanalalamika wanaidai serkal ya ccm mabilion ya pesa? Acha ujinga hii ndo serkal ya ccm.
 
Sitaki kuongea sana... Piga mahesabu mwenyewe....

Then angalia kwa fedha hiyo madawati mangapi yangepatikana, zahanati ngapi zingejengwa?, walimu wangapi wangelipwa malimbikizo yao?. Je isingeweza kuwasaidia wale wakina mama wanaojifungua sakafuni?... Je isingeweza kupunguza vifo vya watoto?....

Na hiyo ni kwa siku moja tu... Ebu zidisha kwa siku 64 za kampeni.
/QUOTE]

Hivi kuna faida gani kuleta habari kama hizi ambazo hazina ukweli wowote?
 
[/COLOR]Na hapo ndipo CDM wasipoeleweka.CCM wanapata RUZUKU zaidi ya milioni 800 kwa mwezi kutoka serikalini.Wana Vitega uchumi,wana vyama rafiki nje ya nchi wanashindwaje kulipa wasanii kama fungu la kampeni kama huo walaka wako ni sahihi???!TETEA RUZUKU,MICHANGO NA MISAADA YA CDM INAYOLIWA NA "MTEI,KOMU,NDESSAPESSA NA MBOWE".Mbona HUJAONESHA WASANII WA UKAWA WANALIPWA KIASI GANI???!Na kwanini hizo fedha mnazotumia kwenye CHOPA NA MAKAMPENI NA KULIPA WASANII MSICHIMBE VISIMA NA KUNUNUA MADAWATI ILI TUIONE TOFAUTI YENU NA CCM??

Wameuza share za TBL, afadhali hata CDM wametumia ruzuku zao kuja hadi huku vijijini kutuelemisha sisi ambao ccm imetunyima elimu na kutumia ujinga wetu kama mtaji wa kutudanganya....
 
Malipo yanafanyika hakuna sahihi ya mlipaji wala mpokeaji, hakuna muhuri wa chama,hakuna tarehe ya malipo kufanyika eti mtu nae ni great thinker anakuja anaandika kinazi tu hata bila kuushugulisha ubongo walau kidogo tu ocampo zero unajishushia hadhi yako mkuu kwa thread za kufikirika.
 
Back
Top Bottom