suplex city
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 433
- 117
Sitaki kuongea sana... Piga mahesabu mwenyewe....
Then angalia kwa fedha hiyo madawati mangapi yangepatikana, zahanati ngapi zingejengwa?, walimu wangapi wangelipwa malimbikizo yao?. Je isingeweza kuwasaidia wale wakina mama wanaojifungua sakafuni?... Je isingeweza kupunguza vifo vya watoto?....
Na hiyo ni kwa siku moja tu... Ebu zidisha kwa siku 64 za kampeni.
View attachment 299409
Inaumiza kichwa sisi masikini hatuna kitu alafu nchi inaliwa na wachache million 100 mtu analipwa tena unaniambia chagua magufuli . Hapati kura yng akafie mbele kura yangu kwa ukawa.