Sina uhakika kama ni kweli, lkn kama ni kweli basi tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri.
Mbona Ninyi mnaambiwa "makamanda peoooplz....jenga chama jenga chama kwa kujitotea wakati huo huo UNAPIGWA MABOMU NA POLISI MPAKA UTAPAUKA Kwa kuvunja sheria kwa makusudi eti ndio ukamanda-unafikiri Nyerere alipata uhuru wa nchi hii kwa vita.Mbowe ANAENDA KULA RUZUKU DUBAI NA MUKYAAhaaa. kama ni hivyo iweje watendaji wa chama mikoani na wilayani wanalalamikia ukata? Au hukuona wakati wa kuomba udhamini jinsi wagombea walivyokuwa wanajinadi kumaliza tatizo la maslahi duni kwa watendaji wa chama? Iweje fedha za kuchezea kweye kampeni zipatikane halfu za kuwalipa viongozi wa ngazi za chini mikonai an wailayni hakuna? Wanakul;a wakubwa tu?
Unasahau kuwa ukichukua mambo yote seriously hutatoka ukiwa mzima. Hili umelichukulia seriously angalia usije ukatoka si mzima. Ref. o not take life so seriously, you will never get out of it alive....kuongezewa makato tusipo fanya yale maamuzi magumu
Hivi hazina yetu hali ikoje?
[/COLOR]Na hapo ndipo CDM wasipoeleweka.CCM wanapata RUZUKU zaidi ya milioni 800 kwa mwezi kutoka serikalini.Wana Vitega uchumi,wana vyama rafiki nje ya nchi wanashindwaje kulipa wasanii kama fungu la kampeni kama huo walaka wako ni sahihi???!
TETEA RUZUKU,MICHANGO NA MISAADA YA CDM INAYOLIWA NA "MTEI,KOMU,NDESSAPESSA NA MBOWE".Mbona HUJAONESHA WASANII WA UKAWA WANALIPWA KIASI GANI???!Na kwanini hizo fedha mnazotumia kwenye CHOPA NA MAKAMPENI NA KULIPA WASANII MSICHIMBE VISIMA NA KUNUNUA MADAWATI ILI TUIONE TOFAUTI YENU NA CCM??
Mwambie hiyo "ELIMU" aanze kwanza na WAMASAI Wenzake.Awajengee SHULE na NYUMBA ZA KUISHI.Wanateseka huku yeye anahonga pesa MISIKITINI na MAKANISANIMwenye kuifagilia CCM lazima atakuwa na upungufu wa akili kama ww....uzuri ni kuwa Lowassa ataanza na elimu