Soma vizuri hiyo budget sio ya siku moja na hiyo hela siyo ya serikali ni ya CCM
Nishasema sitaipigia kura CCM hata kama mgombea wao ni jirani yangu.
CHADOMO wengi wao ni watu wa kusoma gazeti la sani na udaku baas, Kama huyu mtoa mada ndio kachagulia kutoa propaganda kwenye social media basi amefeli sana tena sana hafai, ningekuwa mimi Lowasa shilingi simpi kwani ni JUHAA kupitiliza. Gurunzi
Hii ndio nchi ya wajinga. Mtu anaimba imba anapewa lundo la pesa wakati kule vijijini watoto wana kunywa maji yaliyo changanyika na mavi ya ng'ombe. Hivi kuna sababu yoyote ya kuwa na Chama kama hiki hapa nchini?Sitaki kuongea sana... Piga mahesabu mwenyewe....
Then angalia kwa fedha hiyo madawati mangapi yangepatikana, zahanati ngapi zingejengwa?, walimu wangapi wangelipwa malimbikizo yao?. Je isingeweza kuwasaidia wale wakina mama wanaojifungua sakafuni?... Je isingeweza kupunguza vifo vya watoto?....
Na hiyo ni kwa siku moja tu... Ebu zidisha kwa siku 64 za kampeni.
Unaelewa ulichoandika lakini? Uliwahi kuona chama cha siasa kisichokuwa madarakani wakifanya hayo? Wanatoza kodi? Hata hivyo mimi nilifikiri hao wanamziki wana mapenzi ya kweli na chama wanachokiuza kumbe wapo kibiashara! Ndiyo maana sasa ninasikia wakilalamika kwenye taarifa ya habari ya channel 10 kubaguana kwa itikadi za kisiasa. This was unnecessary and the musicians did not think through before doing it!Hivi fedha ambazo ukawa wanatumia katika kuzunguka na chopa nchi nzima na maposho wanayogawana kina mbowe na watu wake si wangejenga wao hizo zahanati, wakanunua wao hayo madawati, pamoja wakasaidia kuwalipa walimu ili wananchi wawape consideration kuwa wao ndio viongozi imara kuliko porojo na pumba wanazozitoa sasa hivi
Soma vizuri hiyo budget sio ya siku moja na hiyo hela siyo ya serikali ni ya CCM
Sitaki kuongea sana... Piga mahesabu mwenyewe....
Then angalia kwa fedha hiyo madawati mangapi yangepatikana, zahanati ngapi zingejengwa?, walimu wangapi wangelipwa malimbikizo yao?. Je isingeweza kuwasaidia wale wakina mama wanaojifungua sakafuni?... Je isingeweza kupunguza vifo vya watoto?....
Na hiyo ni kwa siku moja tu... Ebu zidisha kwa siku 64 za kampeni.
Hata mimi naweza kutengeneza yng, nikaweka hapa nikasema ni malipo ya wasanii...