stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,765
Wakuu hizi hapa chini ni Gharama walizotumia Chama Cha Mapinduzi katika kuwalipa Wasanii wanaozunguka nao katika Fiesta.
Kwanini watumie Gharama kubwa namna hii ya fedha ikiwa..Walimu, Wastaafu ktk jumuiya hawajalipwa fedha zao. Vile vile huduma za kijamii hakuna.
Kwanini watumie Gharama kubwa namna hii ya fedha ikiwa..Walimu, Wastaafu ktk jumuiya hawajalipwa fedha zao. Vile vile huduma za kijamii hakuna.
Sitaki kuongea sana... Piga mahesabu mwenyewe....
Then angalia kwa fedha hiyo madawati mangapi yangepatikana, zahanati ngapi zingejengwa?, walimu wangapi wangelipwa malimbikizo yao?. Je isingeweza kuwasaidia wale wakina mama wanaojifungua sakafuni?
Je isingeweza kupunguza vifo vya watoto?
Na hiyo ni kwa siku moja tu, Ebu zidisha kwa siku 64 za kampeni.
View attachment 299409