mfungwa
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 1,294
- 345
Sitaki kuongea sana... Piga mahesabu mwenyewe....
Then angalia kwa fedha hiyo madawati mangapi yangepatikana, zahanati ngapi zingejengwa?, walimu wangapi wangelipwa malimbikizo yao?. Je isingeweza kuwasaidia wale wakina mama wanaojifungua sakafuni?
Je isingeweza kupunguza vifo vya watoto?
Na hiyo ni kwa siku moja tu, Ebu zidisha kwa siku 64 za kampeni.
View attachment 299409
Machukizo ya Bwana kubwa ni 1. Kusema uongo 2. Shahidi wa uongo asemae uongo. Pole.