Gharama walizotumia CCM kuwalipa Wanamuziki

Gharama walizotumia CCM kuwalipa Wanamuziki

hiyo budget iko very edited,nyie waungwana mnabishania vyama.tatizo ni mfumo.hao jamaa wamarekebisha kwenye makubaliano ya show,lakini total wameacha vilevile.usishangae hao wote ni ukawa ikishinda
 
Duuh..shule za Jumuiya ya wazazi CCM ziko taabani ile mbaya si wangefanya kitu
 
Ivi ukiwa ccm uwezo wa kufikiri unapungua!Ukienda pale halmashauri Kisarawe ukiuliza kwa nini walimu hawajapanda madaraja wanasema hawana ela kumbe ela wanapewa wasanii.Nyie ccm nyinyi wapuuzi nyie ccm nyinyi iwe mvua iwe jua mtaondoka tu.


Na zile bilioni 2 alizopeleka london kunua nyumba zitarudije kujenga uchumi.
Advance ya Mvua za kutengeneza walirudisha.
 
Diamond wnamlipa milion mia. Alikiba milion 60. Angalia namba moja kwny karatas
 
At least wapo transparent mpaka umepata budget. Sasa budget ya kuuza chadema kwa kina azizi umeiona? Halafu hiyo chadema hela inatoa wapi za kukodi helkopta? Maana ccm tunajua walikoiba ama kupata

Unajua ilivyopatikana!
#Walipo Tupo!
Siyo wote wanaofaa Kijani wako CCM kwa taarifa yako!


[h=2][/h]

Lowassa apata wadhamini 78,500 Pwani - JamiiForums
20 posts
29 Jun 2015


Sina neno la kusema...!!!

Mungu sio Nape...!!! Wana Pwani shukran za kipekee ziwafikie...!!! mmmhh...!!!

Tujikumbushe wadhamini wa Lowassa kwa uchache tu....!!!

Singida...22 elfu, Kilimanjaro, 33 elfu, Mbeya 53 elfu, Iringa 58 elfu, Songea 53 elfu, Arusha 120, 335... Dar 212,150... etc etc...."!!

Jana Kibaha Pwani, kapata 78,500..!!!

Leo Morogoro kapata 100,400...!!!!

 
wamefanya vema kuwalipa wasanii wetu wa hapa hapa maana nilijua wamechukua wasanii kutoka kenya na uganda kumbe wakina shettah,mr blue waache wapewe ndio kukuza sanaa za bongo.....VIVA TANZANIA ....Ila siku ya kupiga kula nenda pale kituoni chukua form halafu unaweka LOWASA hahahahaaaa MABADILIKOOOOOO.....
 
Sitaki kuongea sana... Piga mahesabu mwenyewe....

Then angalia kwa fedha hiyo madawati mangapi yangepatikana, zahanati ngapi zingejengwa?, walimu wangapi wangelipwa malimbikizo yao?. Je isingeweza kuwasaidia wale wakina mama wanaojifungua sakafuni?... Je isingeweza kupunguza vifo vya watoto?....

Na hiyo ni kwa siku moja tu... Ebu zidisha kwa siku 64 za kampeni.
View attachment 299409

wakuu...inatia hasirs
pesa za mambo ya msingi hakuna ila ule upuuzi wameuita shiw pesa zipo
hakuna madawa
hakuna madawati
hakuna maji
madeni ya walimu
madeni ya askari
madai ya wauguzu na madaktari
mikopo ya wsnafunzi
madeni ya wakandarasi
madeni ya wazabuni wa wuzara,maofisi,mahospitali,magereza,mashule nk

hii ni aibu...ccm chokest kabisa tupa kuleeee
 
Inaumiza kichwa sisi masikini hatuna kitu alafu nchi inaliwa na wachache million 100 mtu analipwa tena unaniambia chagua magufuli . Hapati kura yng akafie mbele kura yangu kwa ukawa.

Mbona hii hapa ni kidogo sana asee? wamechakachua unaweza ukalia... hiki chama sio mchezo ni shetani
 
Inaumiza kichwa sisi masikini hatuna kitu alafu nchi inaliwa na wachache million 100 mtu analipwa tena unaniambia chagua magufuli . Hapati kura yng akafie mbele kura yangu kwa ukawa.

Hata mtoto wa chekechea anaweza kutengeza hati feki ya malipo kama hiyo. Huhitaji elimu ya chuo kikuu kutengeneza upuuzi na upumbavu kama huo. ukiitwa lofa unalalamika.
 
[/COLOR]Na hapo ndipo CDM wasipoeleweka.CCM wanapata RUZUKU zaidi ya milioni 800 kwa mwezi kutoka serikalini.Wana Vitega uchumi,wana vyama rafiki nje ya nchi wanashindwaje kulipa wasanii kama fungu la kampeni kama huo walaka wako ni sahihi???!

TETEA RUZUKU,MICHANGO NA MISAADA YA CDM INAYOLIWA NA "MTEI,KOMU,NDESSAPESSA NA MBOWE".Mbona HUJAONESHA WASANII WA UKAWA WANALIPWA KIASI GANI???!Na kwanini hizo fedha mnazotumia kwenye CHOPA NA MAKAMPENI NA KULIPA WASANII MSICHIMBE VISIMA NA KUNUNUA MADAWATI ILI TUIONE TOFAUTI YENU NA CCM??

Ahaaa. kama ni hivyo iweje watendaji wa chama mikoani na wilayani wanalalamikia ukata? Au hukuona wakati wa kuomba udhamini jinsi wagombea walivyokuwa wanajinadi kumaliza tatizo la maslahi duni kwa watendaji wa chama? Iweje fedha za kuchezea kweye kampeni zipatikane halfu za kuwalipa viongozi wa ngazi za chini mikonai an wailayni hakuna? Wanakula wakubwa tu?
 
Na haya malipo wasanii wengine
 

Attachments

  • 1444984707445.jpg
    1444984707445.jpg
    41.2 KB · Views: 321
Back
Top Bottom