PPM
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 838
- 230
Watu 300 mpaka sasa wamefariki dunia kwa milipuko ya mabomu Gongo la Mboto.
SOURCE: MSALABA MWEKUNDU
Source haina kichwa wala miguu, BBC News - Home wamesema ni watu 32. Pls unapotoa taharifa hakikisha source yako ni ya uhakika, tuache mambo ya upuuzi kwenye janga la Taifa.
Reply