Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,674
- 37,852
Ndugu zangu wapendwa hali ni tete
Jeshi limeamua sasa kuwakimbiza watu waliokuwa wakitembea kuelekea mjini na kuwaomba mwenye pumzi akimbie kadri awezyo hali si njema na hivi punde wanatarajia kupeleka mabasi kuwabeba kuanzia tazara....hayo mabomu manne yaliobaki yanafikiriwa kulipuliwa saa nane laikni mmoja wa mameja nilienae hapa anaewakimbiza watu kuelekea mjini anasema hali si nzuri na awana uhakika kama yatafika mpaaka saa nane kabala ayajalipuka yenyewe mwenyezi mungu tuokoe na dhahama hii kama ......,
Jeshi limeamua sasa kuwakimbiza watu waliokuwa wakitembea kuelekea mjini na kuwaomba mwenye pumzi akimbie kadri awezyo hali si njema na hivi punde wanatarajia kupeleka mabasi kuwabeba kuanzia tazara....hayo mabomu manne yaliobaki yanafikiriwa kulipuliwa saa nane laikni mmoja wa mameja nilienae hapa anaewakimbiza watu kuelekea mjini anasema hali si nzuri na awana uhakika kama yatafika mpaaka saa nane kabala ayajalipuka yenyewe mwenyezi mungu tuokoe na dhahama hii kama ......,
Reply