Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,775
- 37,962
Ndugu zangu watanzania kwanza tupeane pole kwa yaliotukuta na yanayoendelea kutukuta nasema hivi maana inaonekana huu ni muendelezo wa kila sehemu yalipo mabomu ya jeshi
Habari zaidi kutoka jeshi la polisi zinasema mabomu 4 yaliobaki ambayo inasemekana ni hatari zaidi kuliko yalliolipuka na huku mtaalamu wao alielipua mabomu kule mbagala akikataa kushiriki kuyalipua haya yalobaki jeshi la polisi linatazamia kulipua hayo mabomu SAANANE ZA MCHANA local time
Hivyo hivi sasa kuna maandamano barabaran na pembezoni watu wakiondoka maeneo ya gongolamboto na kwingineko wakiwa wanatembea bila kupenda akika ni mazoezi yanayotuonyesha kumbe hata hwa jamaa wa gym wanakula hela zetu bure kama tukiamua kweli kweli..namwona bibi vizee zaidi ya watatu wakitembea kama wako darasa la saba na speed kali hakika ni hali tete ni vizuri rais nae akaja kuona shida wanayopata watanzania badala ya kusubiri CHEKI za DOWANS ZINATOKA LINI AMA LINI MKATABA MPYA UNAANDIKWA KUTUMIA MITAMBO YA DOWANS
Habari zaidi kutoka jeshi la polisi zinasema mabomu 4 yaliobaki ambayo inasemekana ni hatari zaidi kuliko yalliolipuka na huku mtaalamu wao alielipua mabomu kule mbagala akikataa kushiriki kuyalipua haya yalobaki jeshi la polisi linatazamia kulipua hayo mabomu SAANANE ZA MCHANA local time
Hivyo hivi sasa kuna maandamano barabaran na pembezoni watu wakiondoka maeneo ya gongolamboto na kwingineko wakiwa wanatembea bila kupenda akika ni mazoezi yanayotuonyesha kumbe hata hwa jamaa wa gym wanakula hela zetu bure kama tukiamua kweli kweli..namwona bibi vizee zaidi ya watatu wakitembea kama wako darasa la saba na speed kali hakika ni hali tete ni vizuri rais nae akaja kuona shida wanayopata watanzania badala ya kusubiri CHEKI za DOWANS ZINATOKA LINI AMA LINI MKATABA MPYA UNAANDIKWA KUTUMIA MITAMBO YA DOWANS