Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Nilisikia asubuhi kuwa wafungwa jana usiku walifunguliwa kutokana na milipuko, kuna mwenye taarifa zaidi juu ya hili?
 
Ndugu wapendwa
kwa walio karibu na gongo la mboto wanaweza kwenda kwenye hospital na mdk waaminifu awafichi ukweli wengi wamekufa tofauti na serikali kuudanganya umma watu kumi tu .....,akika imefika wakati serikali ya tanzania kuwajibika kwa hili kama ni kuhujumiana basi wasituadhiri wananchi na kama mabomu yaliletwa yame expire kwa nini watu wasiwe responsible na hiili????

WEWE MTOTO WA MWINYI EMBU JIUZUL NAONA KAZI IMEKUSHINDA NILIJUA YA MBAGALA BAHATI MBAYA NIKAANDIKA NAHISI SASA NAONA WAZI KAZI IMEKUSHINDA..NA KWA TAARIFA MBAYA HAKUNA HATA KIONGOZI ALIEENDA MAHOSPITALINI SI WAZIRI WA ULINZI WALA MAGENERAL WAKE...............,

HUU NI UPUZI TUSIUKUBALI HATA KIDOGO WATANZANIA NA THIS TIME TUTAANDAMANA KUMPUNGUZIA KAZI HUYU RAIS ASIEJUA MADARAKA YAKE

dah yan ni noumer aise ful kutafutana jana
 
Nilisikia asubuhi kuwa wafungwa jana usiku walifunguliwa kutokana na milipuko, kuna mwenye taarifa zaidi juu ya hili?
Mkuu hizo zitakuwa habari za mtaani!katika hali ya kawaida sio raisi kufanya kitu kama hicho!!
 
I thought they should have learnt from Mbagala , someone must take responsibility to resign.
 
Mkuu hizo zitakuwa habari za mtaani!katika hali ya kawaida sio raisi kufanya kitu kama hicho!!
Mi kwa linchi ka letu lolote linaweza kutokea yaani sitashangaa kama hii stori itakua ya kweli..
Bongo ni Zaidi ya uijuavyo..!!
 
Hii ni mbaya sana na inasikitisha sana ila kwa wale waliopitia mambo ya "Political Science" vitu kama hivyo huwa wanaviita " Noble lie" huwa inafanywa na selikali zote duniani!! Kwa hiyo wadau mnaweza mkazidisha kidogo ili mpate estimate!!! ndo maana sijashangaa kusikia hiyo idadi ya watu mia mbili na inaweza kuwa zaidi ya hapo!!
 


mungu tuepushie dhahama hiiz jamani...habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuna strong bomb manne 4 ayajalipuka watu wameombwa kukaa nje yanyumba zao kwa muda maana haya yana atahari kubwa kuliko yaliolipuka na uhakika wa kuyategua kama ya mbagala akuna hili hali bado jesdhi likishauriana wayafanyaje...habari zaidi zinasema yule mtaalamu wao alieongoza kulipua mabomu yaliobaki huko mbagala amekataa kabisa kwa hayo ma nne..hali kitunda kuna mabomu yameonekana njian kama unatembea sehemu hizo tafadhali uwe na chupa ya koka kola ukiliona linakuja unalirushia linaogpa rangi nyeusi kwa tahadhari tu ...sijasema uvae ngu nyeusi kama uko msiban
 
Mwenye taarifa rasmi, ni watu wangapi mpaka sasa wmepoteza maisha?
 
Ndugu wapendwa
kwa walio karibu na gongo la mboto wanaweza kwenda kwenye hospital na mdk waaminifu awafichi ukweli wengi wamekufa tofauti na serikali kuudanganya umma watu kumi tu .....,akika imefika wakati serikali ya tanzania kuwajibika kwa hili kama ni kuhujumiana basi wasituadhiri wananchi na kama mabomu yaliletwa yame expire kwa nini watu wasiwe responsible na hiili????

WEWE MTOTO WA MWINYI EMBU JIUZUL NAONA KAZI IMEKUSHINDA NILIJUA YA MBAGALA BAHATI MBAYA NIKAANDIKA NAHISI SASA NAONA WAZI KAZI IMEKUSHINDA..NA KWA TAARIFA MBAYA HAKUNA HATA KIONGOZI ALIEENDA MAHOSPITALINI SI WAZIRI WA ULINZI WALA MAGENERAL WAKE...............,

HUU NI UPUZI TUSIUKUBALI HATA KIDOGO WATANZANIA NA THIS TIME TUTAANDAMANA KUMPUNGUZIA KAZI HUYU RAIS ASIEJUA MADARAKA YAKE
Waziri mkuu kalidanganya tena bunge, basi itabidi wengi wajiuzuru kwa hili....
 
poleni sana ndugu zetu huko Tanzania hususan Dar es salaam. Mungu aziweke pema peponi roho za marehemu hao, pia awajalie afya njema waliopata majeraha. tuko na nyie ndugu zetu huko Tanzania
 
Mwenyezi Mungu azilaze rohi za marehemu pema, Amina.

inasemekana hili la gongolamboto ni mara mbili yaliyotokea mbagala.

Mwinyi ni vama hujiuzulu haraka kabla wananchi hatujakutoa wenyewe, Serikali ya Kikwete imeshindwa kutuongoza si muondoke?? hadi mtuue wangapi ndio mridhike??? kueni na aibu ala.
 
Jamani jamani...this is too much! I wish hiyo 200 sio kwelii.... Poleni ndugu zetu, we are praying for you!
 
Several people have been reported dead and many other injured following series of explosions from what is believed to be an arms depot in Gombo la Mboto army camp. Properties worth millions of shillings, including the army facilities and residential houses have been destroyed by the powerful explosions which started at around 8pm Wednesday. Investigations have been launched to establish the cause of the explosions and the extent of damage. The Tanzania People Defence Forces (TPDF) headquarters is expected to give a statement any time. Hundreds of residents of Gongo la Mboto and the surrounding areas have been evacuated and have been ordered to stay away from the area until further notice.

Silvanus Mumba
 
Kwa wale wanaotarajia kusafiri hivi karibuni jana tulipokea memo kutoka TAA kusema wamefunga uwanja kwa siku tatu ndugu zetu wa airline mnaombwa kwa heshima na taadhima kuwafahamisha abiria wenu na sikuwaacha waende kujazana kama mahujaji pale airport walipodanganywa ndege yao
Tuna amini mteja mfalme tuwape heshima zao...hakika hilli janga la kitaifa
 
Tulikuwa na akina Sarungi wataalam wa mambo ya afya wakakimbilia siasa, ma engineer walio tukuka akina Mwandosya wamekimbilia siasa, mkuu wa majeshi mstaafu (Mboma) walimkataa ubunge kwa hiyo naye mwanasiasa, IGP mstaafu Mahita naye nasikia alitaka ubunge, Tibaigana vivyo hivyo. Sasa hata wanafunzi wanatoka chuo tu wanakimbilia siasa, (akina Mnyika hao!). Kwa hiyo wataalam fani zote wanakimbia fani zao na kuunga siasa!! Mtu kabla ya kustaafu kazi yake, anakusanya fedha kwa ajili ya kampeni za ubunge! je atakuwa makini na kazi yake? hatakuwa busy kuiba aache mengine yajiendeshe yenyewe? Mwisho wananchi wote watakuwa wanasiasa kwa sababu tu siasa zinalipa tena bila jasho, Hapo ndipo tutaanza kuendelea kwa kurudi nyuma!! Nikiwa nawaza haya ndiyo nikakumbuka nilichoambiwa na rafiki yangu mchina "KILA MTU NI MBINAFSI TUNAZIDIANA KIWANGO TU".
 
Back
Top Bottom