Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Huyo boya mkubwa ngonja kesho ndio watasema vizuri. Af nadhani usiku huu watakusanya maiti kimyamya kupoteza ushahidi sababu watu wengi wamedanja.
Tehe tehe tehe eti watakusanya maiti kimyakimya du!
 
Nchi ina viongozi wajinga sijapata ona! Ilishatokea mbagala na leo tena! Nyinyi viongozi wa tz ni wajinga ajabu!
You are damn right man, bogus kabisa...watakuja na sababu za kienyeji. We need to go to the damn street...pale luthuli halafu tuone kama atakimbia au la.
 
Hawa wanajeshi kama wana uzalendo, hii ndio ilikuwa opportunity kubwa ya kupindua serikali.
 
Poleni sana wana gongo la mboto na dar kwa ujumla, hivi tatizo nini haswa kwanini hawakuchuka tahadhari mana janga kama hili lilishatokea huko Mbagala, so sad Mungu wape wana wako faraja katika kipindi hiki kigumu.
 
Swali: Iweje kambi za jeshi ziwekwe karibu na makazi ya watu? I.e. Gongo la Mboto, Mbagala etc?
Iweje itokee milipuko miwili kama hii ndani ya miaka miwili?
Iweje vitu hatari kama mabomu yasiwe chini ya uangalizi mkali na kukaguliwa na wataalamu???
 
Hivi pale lugalo hakuna silaha, kama zipo siku zikilipuka si itakuwa kizaazaa...
 
Swali: Iweje kambi za jeshi ziwekwe karibu na makazi ya watu? I.e. Gongo la Mboto, Mbagala etc?
Iweje itokee milipuko miwili kama hii ndani ya miaka miwili?
Iweje vitu hatari kama mabomu yasiwe chini ya uangalizi mkali na kukaguliwa na wataalamu???

Time for nguvu ya umma
 
ni mkakakati wa kutusahaulisha skandali za DOWANZI et al

(Independent School of Thought)
 
Mazeee..... thats TZ for you, yaani hakuna mtu yoyote yule mwenye hata upeo wa kuweza kulifikiri hili ITV,TBC,CH10,STarTV,CloudsTV,TVZ etc etc AIBU kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Hawa wenye hizi TV LABDA mpaka ziwe kampeni za siasa, wahongwe au walipwe na UNDP ndo wataonesha!
 
Swali: Iweje kambi za jeshi ziwekwe karibu na makazi ya watu? I.e. Gongo la Mboto, Mbagala etc?
Iweje itokee milipuko miwili kama hii ndani ya miaka miwili?
Iweje vitu hatari kama mabomu yasiwe chini ya uangalizi mkali na kukaguliwa na wataalamu???
Shimbo atayajibu kesho.
 
Hawa wanajeshi kama wana uzalendo, hii ndio ilikuwa opportunity kubwa ya kupindua serikali.

...hawa hawa wenye vitambi?? forget it. Hii imebaki kuwa kazi ya wananchi wazalendo tu wenye uchungu na nchi yao, basi!

 
jk achia ngazi . Nina hasira ya kufa . Natafuta bom nakuja nalo ikulu straight
 
Jijini kunasikika milipuko mkubwa...taarifa zinasema ni mabomu eneo la Gongo la Mboto. Tupeane taarifa sahihi tafadhali kwa wenye nazo.


Thread ya taarifa hizo imewekwa kabla yako muda mrefu saana, ina maana hukuiona au umetaka nawewe uonekane katika hii news ndiyo maaana wewe ukaweka kwenye jukwaa la intelligence
 
Kova anatoa macho TBC,

Anasema kuna watu wanavumisha eti watu wanakimbia hovyo na watoto wamepotea

pumbafuuuu
 
Shimbo atayajibu kesho.

Tuta pigwa siasa tu. Viogngozi wata ahidi kufanya uchunguzi, waathirika wata ahidiwa vijisenti. Wananchi wakiongea sana itaanzishwa "kamati". Do you expect anything new?
 
Back
Top Bottom