Glue
Senior Member
- Jan 14, 2011
- 156
- 49
yaani, mengoja kama kuna ripoti yyt...bila bila. ngoja nilale tu
kunalalika kweli?
yaani, mengoja kama kuna ripoti yyt...bila bila. ngoja nilale tu
JWTZ wamesema watu wakae kilometa 10 kutoka eneo la kambi nae Kova anasema warejee majumbani, sasa sijui lichukuliwe la nani!Hivi Katavi ni sawa Kova kuelekeza wananchni cha kufanya badala ya Jeshi mbona hawa jamaa mi wananichanganya, Sehemu ya JWTZ wanaongea Polisi, sehemu ya Polisi wanaongea JWTZ au siku hizi wanafanya kazi pamoja!!?
kesho ni prime minister's questions bungeni ... atasema ni Godbless lema ndio amefanya milipuko hii .. lol
Mkuu, unategemea nini toka kwenye tume itakayoundwa?...ni porojo tu, hutapata jipya!Airport imesimamisha huduma kwa mda kwa sababu za kiusalama zaidi,tusubirini tupewe chanzo
Mkuu,Watu zaidi ya 5, wamekufa, wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa, by ITV
Tuwaombee wote wanaopatwa na janga hili. Poleni sana.
Taaluma ya habari bado haijakomaa TZ, matukio mengi yanaripotiwa kiushabiki au kwa maslahi ya watu fulani, mbona polisi wakipiga raia kwenye maandamano ya wapinzani TV ndo zinakuwa mstari wa mbele kurusha matukio live.I suppose!..
Ila cha ajabu ni kwamba TV zimekomaa na matangazo ya kawaida...hawaonyeshi kitu zaidi ya sentensi za kuflash pale chini!
Ahahahaah pole sana Nyati uongo wangu ni nini hapa? Umepata kahawa lakini, maana kukaa macho hadi saa nane.....!! Pole sana.Katavi acha Uongo. Hali imetuli kwa sasa. Mimi nimepangiana zamu na wife yeye kalala na watoto mimi nipo zamu hadi saa 8.00 namwamsha aendelee ili nami nipate usingizi kidogo. huwezi kulala kwani kama haya yanayoruka kuelekea sehemu zingine yakikukuta haupo macho ni hatari tu