MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 20,113
- 35,491
kama Rais amehaidi kuwa incident kama ya mbagala haitatokea kwa kuchukua hatua za msingi maana yake hiyo ni amri kwa watendaji na ikijirudia nini kifuate.tunafanya mzaha na dhana ya kuwajibika na haiishii hapo tu na kuwajibishwa kisheria.hili tukio lazima wabunge WOTE bila kusita kuipa serikali cku 7 kuwawajibisha waliozembea wote bila kujali cheo na itoe taarifa kwa bunge kupitia PM.Huu ni mzaha kwa watz masikini,wapole,na wasikivu.narudia tena huu ni MZAHA jamani.