Gazeti la The Economist: Rais Magufuli na CCM kuendelea kushika madaraka baada ya Uchaguzi Mkuu

This is very true, not only CCM will retain a firm grip on power, but for a long time to come, in facts, CCM Itatawala Milele, anayebisha abishe tuu for the sake of kubisha, unless ni kwa msaada wa watu wa Marekani!.
P
Mkuu;
Pascal Mayalla unasema wapinzani hawawezi kuingia Ikulu milele bila msaada wa watu wa Marekani?

Kumbuka Mwl. Nyerere alisema, wapinzani wa kweli watatoka CCM na kwa maana hii, CCM itaondolewa madarakani kwa msaada wa wanaCCM na sio watu wa Marekani pekee!
 
INTELLIGENCE UNIT ni sehemu ya kitengo ndani ya Gazeti la The Economist ambacho hufanya uchunguzi na utafiti wa kisiasa na kiuchumi kwa nchi mbali mbali duniani na kutoa matokeo au matarajio.

Kitengo hiki cha kiuchunguzi kina wafanyakazi wabobezi zaidi ya 100 duniani ambao hutoa tafiti na utabiri baada ya uchunguzi kuhusu masuala ya kiuchumi kwa nchi mbali mbali kila mwanzo wa mwaka kulingana na mazingira halisi.

Ikumbukwe kuwa gazeti la The Economist limekuwa mwiba mkali hasa kwa Rais Magufuli kwa sababu linaamini sera za kisiasa na kiuchumi za Rais Magufuli zinaenda kinyume na mtazamo/msimamo wa kisiasa na kiuchumi wa gazeti hili.

Kwenye suala la kiuchumi, The Economist linaamini katika Ubinafsishaji na kuachia uchumi huru bila ya serikali kuingilia kati. Kwenye suala la kijamii, The Economist linaamini katika ndoa za jinsia moja na kuhalalisha utumiaji wa baadhi ya madawa ya kulevya kama bangi.

Ukitaka kujua msimamo wa Gazeti la The Economist kuhusu masuala ya kisiasa na kiuchumi;
GONGA LINK HII>>>Is The Economist Left or Right Wing

Hata hivyo linapofika suala la uchambuzi na utafiti, gazeti la The Economist hutoa matokeo ya tafiti na utabiri kama ambavyo jopo la wachunguzi wake limeona na kufikia hitimisho.

Kwenye masuala ya kisiasa nchini, jopo la wachunguzi wa INTELLIGENCE UNIT limesema baada ya Uchaguzi Mkuu, Rais Magufuli na CCM wataendelea sio kutawala tu bali pia watahodhi kwa kiwango kikubwa madaraka ya nchi.

Kwenye masuala ya kiuchumi limesema pamoja na kwamba serikali ya Rais Magufuli imeonesha mipango na nia ya kuboresha uwajibikaji katika sekta za umma na kuboresha maisha ya wananchi lakini inakabiliwa na uwezo mdogo kifedha.

INTELLIGENCE UNIT imebainisha kuwa, kutokuwa na utungaji sera ulioeleweka nchini kutawafanya wawekezaji kuogopa kuwekeza nchini, hata hivyo matarajio kwa nusu ya mwaka yanaonekana kuwa imara kutokana na kukua kwa sekta ya utoaji huduma nchini na uwekezaji kwenye miundombinu kitaifa.

Ukitaka kusoma repoti yote;
GONGA LINK HII>>>ENTELLIGENCE UNIT: Tanzania political and economic forecast

Kwa ruhusa yako, naomba kulitumia bandiko lako hili kurutubisha bandiko langu fulani kwa siku zijazo.
P
 
Kama unaiamini hiyo Intelligence Unit ya gazeti la the Economist kwamba inatoa habari za kiuchunguzi na za kweli basi muachieni Kabendera, mbona mnaendelea kumshikilia wakati alikuwa anaripoti kwenye media yenye Intelligence Unit mnayoiamini?

Au mnapenda ukweli wa yale yanayowafurahisha tu, ukweli wa yale machungu kwenu mnaukataa!

#pathetic.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unaiamini hiyo Intelligence Unit ya gazeti la the Economist kwamba inatoa habari za kiuchunguzi na za kweli basi muachieni Kabendera, mbona mnaendelea kumshikilia wakati alikuwa anaripoti kwenye media yenye Intelligence Unit mnayoiamini?

Au mnapenda ukweli wa yale yanayowafurahisha tu, ukweli wa yale machungu kwenu mnaukataa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sikujua kuwa mashitaka ya Kabendera ni kuripoti kwenye gazeti la The Economist!

Mkuu, naomba unipatie charge sheet ya Kabendera ili nami nisome!
 
INTELLIGENCE UNIT ni sehemu ya kitengo ndani ya Gazeti la The Economist ambacho hufanya uchunguzi na utafiti wa kisiasa na kiuchumi kwa nchi mbali mbali duniani na kutoa matokeo au matarajio.

Kitengo hiki cha kiuchunguzi kina wafanyakazi wabobezi zaidi ya 100 duniani ambao hutoa tafiti na utabiri baada ya uchunguzi kuhusu masuala ya kiuchumi kwa nchi mbali mbali kila mwanzo wa mwaka kulingana na mazingira halisi.

Ikumbukwe kuwa gazeti la The Economist limekuwa mwiba mkali hasa kwa Rais Magufuli kwa sababu linaamini sera za kisiasa na kiuchumi za Rais Magufuli zinaenda kinyume na mtazamo/msimamo wa kisiasa na kiuchumi wa gazeti hili.

Kwenye suala la kiuchumi, The Economist linaamini katika Ubinafsishaji na kuachia uchumi huru bila ya serikali kuingilia kati. Kwenye suala la kijamii, The Economist linaamini katika ndoa za jinsia moja na kuhalalisha utumiaji wa baadhi ya madawa ya kulevya kama bangi.

Ukitaka kujua msimamo wa Gazeti la The Economist kuhusu masuala ya kisiasa na kiuchumi;
GONGA LINK HII>>>Is The Economist Left or Right Wing

Hata hivyo linapofika suala la uchambuzi na utafiti, gazeti la The Economist hutoa matokeo ya tafiti na utabiri kama ambavyo jopo la wachunguzi wake limeona na kufikia hitimisho.

Kwenye masuala ya kisiasa nchini, jopo la wachunguzi wa INTELLIGENCE UNIT limesema baada ya Uchaguzi Mkuu, Rais Magufuli na CCM wataendelea sio kutawala tu bali pia watahodhi kwa kiwango kikubwa madaraka ya nchi.

Kwenye masuala ya kiuchumi limesema pamoja na kwamba serikali ya Rais Magufuli imeonesha mipango na nia ya kuboresha uwajibikaji katika sekta za umma na kuboresha maisha ya wananchi lakini inakabiliwa na uwezo mdogo kifedha.

INTELLIGENCE UNIT imebainisha kuwa, kutokuwa na utungaji sera ulioeleweka nchini kutawafanya wawekezaji kuogopa kuwekeza nchini, hata hivyo matarajio kwa nusu ya mwaka yanaonekana kuwa imara kutokana na kukua kwa sekta ya utoaji huduma nchini na uwekezaji kwenye miundombinu kitaifa.

Ukitaka kusoma repoti yote;
GONGA LINK HII>>>ENTELLIGENCE UNIT: Tanzania political and economic forecast

Leo ndiyo mnaona The Economist wameongea ukweli?

Mbona wakeiponda serikali ya Magu mnatoka povu?

Sasa mjiandae kabla ya uchaguzi watakuja na tamko tofauti na hili...poleni sana na endeleeni kutenda uovu kwa raia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ndiyo mnaona The Economist wameongea ukweli?

Mbona wakeiponda serikali ya Magu mnatoka povu?

Sasa mjiandae kabla ya uchaguzi watakuja na tamko tofauti na hili...poleni sana na endeleeni kutenda uovu kwa raia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kupiga ramli pia ni sehemu ya angalizo!

Kumbuka Gazeti la The Economist limeandika, ‘’Under the leadership of John Magufuli, the long-standing ruling party, the CCM, will retain a firm grip on power’’.
 
Sasa "huelewi" au "unajifanya" huelewi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mwenye akili timamu na fikra pana hawezi kuzifanya hisia za mtu fulani kama ndio ukweli!

Wewe kama unazielewa hisia zako, mimi sio jukumu langu kuzielewa au kujifanya sizielewi kwa sababu kufanya hivyo nitakuwa ninatumia akili na fikra zangu vibaya!
 
Nadhani huu utafiti na angalizo la hili gazeti umewafanya viongozi wetu wa upinzani kuingiwa na hofu/wasiwasi na kuanza kutafuta nguvu za kisiasa na kiuchumi kutoka nje ya mipaka ya nchi!

Hii sentesi ya INTELLIGENCE UNIT isemayo, ‘’Under the leadership of John Magufuli, the long-standing ruling party, the CCM, will retain a firm grip on power’’, imetoa ujumbe ambao vyama vya upinzani kama havitajipanga vizuri kuna uwezekano wa kujikuta bunge lina idadi ndogo sana ya wabunge wa upinzani na pia halmashauri za miji na Majiji zikiangukia kwenye mikono ya CCM!

Sio ajabu kuona kwa sasa viongozi wetu wa upinzani wanashindana kwenye nje ya nchi kutafuta msaada wa kisiasa na kifedha!
Kwa nguvu ya Police na Jeshi, in the ballot box CCM wanashindwa asubuhi sana tena sana! Kwenye uhuru ha haki... free and fair election ,upinzani will emerge winner!
 
Back
Top Bottom