Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
Can somebody please tell me why this is KLHN Breaking News?
kwa sababu... so far KLHN - ndiyo imeibreak hiyo news without any sense of ambiguity or qualifications... hutaki?
Can somebody please tell me why this is KLHN Breaking News?
..but where/who took the money?
I think who breaks the story is besides the point, the news is out, we should be discussing about this resignation and its implication on the pending BOT report, the governorship succession race and the economy of our country.
kwa sababu... so far KLHN - ndiyo imeibreak hiyo news without any sense of ambiguity or qualifications... hutaki?
Hii aliyosema Mlalahoi inafanana sana na habari ambazo mie pia nimebahatika kuzipata kutoka kwa wadau wa karibu. Lakini bado nadhani kuathirika "ngoma" si kinga ya kutomwajibisha mtu kwa ufisadi, maana waathirika wana haki na wajibu ule ule kwa taifa lao, sawa tu na waathirika wa maradhi mengine na watu wasio na ugonjwa. Ndio maana tunasema wasibaguliwe sehemu za kazi ili muradi wanamudu kazi zao. Na kama mtu anamudu kazi, hata ufisadi anaweza vilevile, na anastahili kuwajibishwa kwa hilo. Naomba kama yuko mtu mwenye ile ripoti ya ukaguzi wa hiyo BOT atusaidie, tuisome tujue kweli. Na kama huyo Gavana ni mtuhumiwa, ashitakiwe, kinachowezekana kuwa recovered kwenye assets zake kifanywe angao hasara ipungue, tusibakie tu kusema ana "ngoma" eti basi tumwache "ajifie"!
Ngoja niweke kitu kimoja vizuri kabisa.. Gavana ametoka hospitali na anaendelea vizuri. Hata hivyo kutoka kwake hospitali ni kinyume na "matarajio" ya "wale wenye nguvu zilizopo". Na hata sasa hivi habari pekee ya furaha kwao itakuwa ni Gavana katuaga.. ndio maana mimi siombe afe nataka aishi atusimulie.. haya mambo ya viongozi kufa na siri zetu hatuna tena.
Kaiba ama anajua walioiba?
SteveD, kitu kimoja ambacho kimetokea hivi karibuni ni communications zinapotea. A number of emails ambazo zinatoka "jikoni" au mimi nazipitisha "kwa wenye uwezo" hazifiki na imebidi nibadili email na hata zile za wenzangu. Kwenye simu hilo linajulikana kuwa wanamonitor na imefikia mahali sasa tunazungumza utadhani tunapigiana mafumbo!
Kaiba ama anajua walioiba?
Ndiyo, sitaki hadi unionyeshe pale KLHN News walikuwa wa kwanza kui-break...
Kwenye tovuti kuna 'Eid Njema sijui Eid Muabarak'....hapa poster wa kwanza alikuwa Hasara au Halisi (sorry I tend to mix up the 2)...so where does KLHN fit into this?
naweza kukufanyia hiyo homework but then it won't be fair. Wewe angalia sehemu zote na uone ni nani aliyesema "Balali Ajiuzulu" kwanza. Halafu njoo nisahihishe.
Word?
Tuna ka-George Bush hapo Ikulu siyo?