Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
- Thread starter
- #21
Hata kama hajafanyiwa baya, kuna kila sababu kama binadamu kuweka mahali japo kwa watu wa karibu taarifa zote sahihi ili "WAKATI MWAFAKA" ukweli ujulikane. NAAMINI mambo mengi yana walakini na Watanzania tunajikuta tukiburuzwa bila kufanya utafiti wa kutosha. Upo uwezekano wa kesho kukuta magazeti mengi yakaandika habari ya Ballali, lakini bado najiuliza je, kuna NINI hadi tufikie mahali pa serikali KUPWAYA KIASI CHA KUENDESHWA NA KISANII? MUTAKUJA KUKUBALIANA NA MIMI KWAMBA kutatokea taarifa za KISANII SANA