FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

raha sifa kujisifia acha nianze hivi:

nina uwezo wa kumiliki ndege zote za tz, niko na uwezo wa kuleta mapinduzi makubwa hapa duniani
 
naitwa wapi nicas naomba unielekeze ili nije huko maana sipajui nielekeze basi sioni njia bhana
 
naitwa wapi nicas naomba unielekeze ili nije huko maana sipajui nielekeze basi sioni njia bhana

Polepole jamani. Nishike mkono nikuoneshe. Kuja pande ya pm kabla manyang'au hayajakuvamia!
 
sasa mimi namiliki pafyumu babkubwa, redio ndogo ya mkulima na kabati la nguo
 
Back
Top Bottom