FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

Khaaah! Husband unachafua cv ya mkeo hadharani! Siamini macho yangu!

Kama hulali nyumbani unataka asemeje!? Tena nitaongea na Baba V aazishe kamati ya kushughulikia tatizo lenu! Period!
 
Last edited by a moderator:
Kama hulali nyumbani unataka asemeje!? Tena nitaongea na Baba V aazishe kamati ya kushughulikia tatizo lenu! Period!
We ! Ishia hapo hapo! Nipo busy nambembeleza husband!
 
Last edited by a moderator:
hah hah hah hah hah! Chumba cha guest au!? Si umesema halalagi nyumbani siku hizi!?
Aaaaah! We nae umesahau utani wa husband?

Toka lini wana ndoa wakalala guest? Alikuwa anatania bana! Ananijua mkewe nilivyotulia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom