Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,620
- 5,863
Msamehe kwani hajielewi. Anafikiria kwa kutumia Masaburi, anataman angekuwa na uwezo wa kutumia ubongo.kitundu wako! katikati ya masaburi yako
Msamehe kwani hajielewi. Anafikiria kwa kutumia Masaburi, anataman angekuwa na uwezo wa kutumia ubongo.kitundu wako! katikati ya masaburi yako
Ukimuuliza atakwambia kila Mtanzania ana haki ya kutoa MAWAZO yake.ukiokosa point si bora usome za wenzio tu au lazima uchangie???????????????????/
Kuna tatizo la usomi na kwenda shule.''Wasomi wengi hata wa vyuo vikuu hawaijui katiba kama wanaijua hawailewi na kama wanailelwa hawajui vifungu'' (Prof Issa Shivji TBC1 24/8/2011)
Sishangai wabunge wa Zanzibar kutoelewa nini hasa Mh Tundu Lissu alimaanisha katika hotuba yake, walisikiliza hawakuelewa na pale walipoelewa kidogo hawakufahamu undani wa hoja, wanatumia nguvu nyingi kusukuma ukuta na ukipima workdone ni zero!
am out
yupo anaye kaimu cheo cha urais,TANZANIA HAINA RAISI,kama yupo atoke na akanushe kauli yangu
Faida yake ni kuwafany wabunge wa-Zanzibar kupewa posho mara2., Zanzibar na Bara.Hivi huu wanaouita muungano una maslahi gani kwa watanganyika? naomba kama kuna mwanaJF anayejua anijuze jamani!, Kwa kweli mimi kwa maoni yangu, huu muungano ni wakuufutilia mbali tu!
Faida yake ni kuwafany wabunge wa-Zanzibar kupewa posho mara2., Zanzibar na Bara.
hiyo ndio kubwa zaid.
Wabunge 2 toka zanzibar wametoa maneno makali, matusi na dhihaka dhidi ya Lisu. Lisu akasimama kuomba utaratibu lkn spika Anne Makinda kamzuia kasema tuvumiliane. Rai yangu kwa spika..next time Mbunge toka CDM au upinzani wowote exluding CUF akitoa maneno makali na matusi kama haya dhidi ya CCM naomba pia tuvumiliane.
Yapi...?YAMEKUWA HAYO?!!
kweeeeli ht ile urojo wanayokula rijali hawezi kuitia mdomoni <br /><br /><br />
<br /><br />
Wote ninyi Wapemba,watu wa "kubanduliwa".
<br />Safi ikibidi hata walipige makofi jinga sana hilo Lissu, mabunge mapumbavu kama Lissu dawa yao makofi tu.
<br /<font size="4">Lissu alishawatukana wazanzibari jana wakati wa hotuba yake, vipi mkuki kwa nguruwe eeeeh!</font>
<br /><br />Kama kuna kosa ambalo hatutamsamehe mwalimu Nyerer ni huu muungano na watu waajabu wenye matusi na majivuno kama wazanzibari,wakati umefika,sasa wakutengana kila mtu aingie kivyake kwenye shirikisho la Africa Mashariki
<br />wanzibari wamesema watashiriki kwa kila jambo linalohusu Tanzania <b>liwe la Muungano</b> au l<b>isiwe la Muungano.</b>hakuna serikali ya <b> Tanganyika kokote</b>. tusiwaonee kwa udogo wao wa idadi ya watu. Akaja mwingine akasema Waislam wa Tz Bara wamekosa haki kwenye mambo mengi tuu yanayowahusu mfano mahakama ya KADHI, h<b>aki ya kuoa au kuolewa mara tu unapovunja UNGO au KUBALEHE haki hii wameikosa Wanataka Katiba Iwarudishie. </b>nilishindwa kuvumilia kusikiliza hoja za aina hii za kutetea kutaka kuoa au kuolewa kwenye umri wa Kitoto.