Halafu spika anauchuna tu huku akijua ni kosa mbunge kumtusi mbunge mwengine awapo bungeni. Wadau huyo mbunge mdebwedo amesema huko zenji wanajua maana ya TUNDU LISSU (nahisi alimaanisha kuwa wanajua ni matusi)
Unajua maana ya tuvumiliane? ni kwamba mama Anna makinda anaufahamu vizuri uwezo wa Wabunge wa chama chake ndiyo maana anaomba tuwavumilie tuu hawajui watendalo, lakini kwa wabunge makini wa CHADEMA hakuna haja ya kuwavumilia huwezi ukamvumilia mtu mwenye uelewa mzuri wa jambo unapohisi amechemsha kitu.
mwingine kasema bungeni hachagui mwanamke kwa kuangalia makalio makubwa au madogo
Habari za kutwa Nduka!!!!Safi ikibidi hata walipige makofi jinga sana hilo Lissu, mabunge mapumbavu kama Lissu dawa yao makofi tu.
WOS
usiandike kama vile wote tunaangalia TV, you are better than that sweetie
hivi huyu mwanasheria mkuu sio mkenya kweli mbona kafanana na odin.ga?
YAMEKUWA HAYO?!!
Mipasho hadi Bungeni jamani?..Mh Chombo Vs Tundu Lissu!
mwingine kasema bungeni hachagui mwanamke kwa kuangalia makalio makubwa au madogo
Safi ikibidi hata walipige makofi jinga sana hilo Lissu, mabunge mapumbavu kama Lissu dawa yao makofi tu.
Oyaa write something down WoS.
Habari za kutwa Nduka!!!!