Full mipasho bungeni

Pamoja na kwamba wabunge wengi wameonekana kupiga makofi wakati baadhi ya wabunge wakimponda Mh Lissu kuhusu hoja yake kuwa Zanzibar ishiriki kwenye masuala ya Muunngano na sio vinginevyo, nahisi wabunge wengi (including wa ccm) kichinichini wanakubalina naye (Lissu). Wanzazibari wenyewe wamekuwa wanauliza serikali ya Tanganyika iko wapi lakini majibu yako techinical siku zote.

Hata wakati wa mojadala bungeni, wabunge wengi wa toka Zanzibar wanapata shida kuchangia maana kusema kweli mambo mengi hayagusi Zanzibar ila wanafanya hivyo kwa sababu ya mfumo uliopo. Mfano, mijadala ya wizara mifugo, ujenzi, kilimo n.k Hizi haziko kwenye mambo ya muungano.

Iko haja ya kuangalia haya mambo kwa busara na umakini na sio kumshambulia Tundu Lissu (personally) maana wanaweza kukuta wako watanzania wengi (pande zote za muungano) wenye mawazo kama yake lakini hawapati majibu. Don't kill the messanger!
 
mwanasheria mkuu wa serikali amembeza tundu lisu kuwa tundu lissu anasema mahakama haijatoa hukumu juu ya washitakiwa wa epa lakini yeye mwanasheri mkuu anawapongeza sn mahakimu kwa kazi nzuri waliyofanya na kamwe yy mwanasheria mkuu hawezi kuwaingilia mahakimu na hatamruhusu mtu yyt (tundu lissu) awaingilie mahakiku kuhusu swala la eppa
 
Safi ikibidi hata walipige makofi jinga sana hilo Lissu, mabunge mapumbavu kama Lissu dawa yao makofi tu.
 
mwingine kasema bungeni hachagui mwanamke kwa kuangalia makalio makubwa au madogo
 
Halafu spika anauchuna tu huku akijua ni kosa mbunge kumtusi mbunge mwengine awapo bungeni. Wadau huyo mbunge mdebwedo amesema huko zenji wanajua maana ya TUNDU LISSU (nahisi alimaanisha kuwa wanajua ni matusi)

Anyway Tundu Lissu onyesha kwamba una busara kuliko wao ili wabaki na aibu. Hivi mtu uko kwenye mfungo mtakatifu halafu unamtukana au kumdhihaki mwenzio je huo mfungo si utakuwa ndio umeishia hapo kwa leo au wataendelea kujidai bado wamefunga?
 
Unajua maana ya tuvumiliane? ni kwamba mama Anna makinda anaufahamu vizuri uwezo wa Wabunge wa chama chake ndiyo maana anaomba tuwavumilie tuu hawajui watendalo, lakini kwa wabunge makini wa CHADEMA hakuna haja ya kuwavumilia huwezi ukamvumilia mtu mwenye uelewa mzuri wa jambo unapohisi amechemsha kitu.

Chadema kwa kulalama. Basi nyie sasa muwe Spika.

Mbona amusemi mwongozo wa Mary Nagu na ana kommu maamuzi alikuwaje?

Au kunya anye kuku akinya bata uharo.

Poleni sana
 
WOS

usiandike kama vile wote tunaangalia TV, you are better than that sweetie

MTM..endele kusoma basi mbona mambo yameshawekwa humu? Mimi nasikiliza na huku nachapa kazi jamani.Unataka nikose mkate wangu wa siku kisa kusikiliza na ku report jamani?..I know umeshaona wachangiaji wengine nao wamesema nini kuendeleza hii hoja
 
hivi huyu mwanasheria mkuu sio mkenya kweli mbona kafanana na odin.ga?

Mkuu nenda KCMC au Muhimbili lazima utakuwa na matatizo ya macho au macho yanaangalia upande upande!!!. Lakini kama umem- judge kwa akili inawezekana uko sawa kabisa!!!
 
Nchi imeshakishwa hii. Hakuna wa kumtegemea.

Mungu awalinde watanzania
 
Sikumbuki jina la mchangiaji wa kwanza ila kusema kweli katumia maneno ya makali na ya kustua kidogo kwa siasa za Tanzania Bara. Inawezekana kwa upande wa Zanzibar maneno hayo yanakubalika lakini kwa huku yatabakiwa kuwa doa.

Kwa mfano katumia maneno kama 'upuuzi, ufedhuli na mbaya zaidi kaenda mbele kwa kukashfu jina la mbunge mwingine kwa tafsiri ya kwao i.e Tundu 'lusu'. Hili litazua mjadala mkubwa nje ya bunge unless wakubwa wasawazishe mambo kichinichini.
 
Back
Top Bottom