Full mipasho bungeni

Full mipasho bungeni

jamani waki jilaumu ni sisi WATANZANIA "BARA & VISIWANI" ..... tunawachulia poa sana hawa CCM

kero za muungano zitakwisha CCM ikiondoka madarakani nukta!....

Muungano uvinjwe tubaki majirani wa nchi mbili kama uonavyo kenya na uganda!
 
Mwalimu Nyerere alifanya mambo mengi mazuri, lakini hili la kuleta muungano alikosea sana,sasa ona tabu aliyotuachia, siku muungano huu ukivunjika nitafurahi kupita maelezo.NAUCHUKIA SANA MUUNGANO.

Nauchukia zaidi yako! Na wanaofanya niuchukie ni hao wazanzibari!
 
maalim Barubaru naomba unijuze ni wapi alipokosea Lissu mpaka hao waheshimiwa wabunge wamewaka?
 
.................Kama ni wabunge wa Zanzibar,wamezoe mipasho na matusi...nadhani ni wakupuuza...
 
jamani waki jilaumu ni sisi WATANZANIA "BARA & VISIWANI" ..... tunawachulia poa sana hawa CCM

kero za muungano zitakwisha CCM ikiondoka madarakani nukta!....

Muungano uvinjwe tubaki majirani wa nchi mbili kama uonavyo kenya na uganda!

Kwa akili hizo za akina TUNDU LUSSU CCM itaendelea kuwepo hapo hata baada ya miaka 100.
 
maalim Barubaru naomba unijuze ni wapi alipokosea Lissu mpaka hao waheshimiwa wabunge wamewaka?

Japo mimi sio Barubaru, naomba nikueleweshe kuwa hatuna katiba ya tanzania bara, wala hatuna masuala ya tanzania bara, kusema siasa za zanzibar zisiamue hatima ya Tanzania ni kuitusi Zanzibar kwakuwa Zanzibar nayo ni Tanzania. Kwa mfumo uliopo maelezo yote yalilenga kuidhalilisha Zanzibar na kuifanya kama ni koloni la Zanzibar ndio maana wabunge wa Zanzibar wakasimama kuitetea.
 
ukweli zanzbar una majimbo jumla idadi wa wapiga kura haizidi hata 8,000. So kuuna baadhi ya wawakilishi wa zanzibar ni kama madiwani.
 
ukiona mtu mzima anaanza kukimbilia kutukana majina ya watu ujue ameshikwa pabaya!!

Hakuna mtu kamtuka TUNDU LUSSU ila alichokisema Mheshimiwa Chombo ni kuwa Wanzibar wasihamaki kwa kuwa aliyewakera jina lake ni TUNDU LUSSU na wao wanajua maana ya TUNDU LUSSU.
 
SIONI KOSA LA LISSU HADI CHOMBO AMTUKANE YEYE NA WATANGANYIKA [WANAOAMINI KAMA YEYE]

NIMEMUELEWA LISSU KUWA KATIBA YA ZANZIBAR ILIPITISHWA NA BARAZA LA WAWAKILISHI TENA BILA HAATA RAIS WA MUUNGANO ....KUAMBIWA NINI KUSHIRIKISHWA...[hata kwa taarifa tu].......

Ndio akasema mchakato wa katiba ukija WAZANZIBAR washirikishwe tu kuamua masuaala yanayohusu muungano.....lakini yale yasiyohusu muungano wasiyaongelee...na hata rais wa Zanzibar asiweze kuzuia maoni yasiyohusu Muungano....

Kimsingi hakuna baya hapo......hata hao kina chombo wapo pale bungeni kutetea mambo ya zanzibar yahusuyo Muungano...ni vema mambo yasiyowahusu wawe wanakaa kimya na haata ikibidi wasiwe wanayapigia kura..

Ina maana wao ndio wanawaburuza Watanganyika kwa kuwa sisi kwenye baraaza la wawakilishi hatupati fursa hata ya kushuhudia kama wageni waalikwa pale wanapokuwa wanaongelea mambo ya Muungano au hata yasiyowahusu...wao ndani ya Muungano...LUGHA YA CHOMBO ILIKUWA YA KUUDHI....

Yaani ni kama mtu kugombana na mwanamke ...wanawake ukigombana nao hutoa Lugha mfano ya Chombo ..unaatamani umtwange lakini basi unavumilia!
 
ndio akasema mchakato wa katiba ukija WAZANZIBAR washirikishwe tu kuamua masuaala yanayohusu muungano.....lakini yale yasiyohusu muungano wasiyaongelee...na hata rais wa Zanzibar asiweze kuzuia maoni yasiyohusu Muungano

Katiba gani unaongelea? Kama ni katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania hata wa masheia wa Zanzibar wanahaki ya kujadili kila kitu kwenye hiyo katiba lakini kama mtakuja na katiba yenu ya Tanganyika wazanzibar hawezi kuwaamulia.
 
zaidi ya hoja za TL. Je CCM na SMZ ni lini wataweza kukubali hoja ya win win situation ambayo inahitaji katiba mpya? Vinginevyo Tanzania visiwani daima wataendelea kutaka huruma ya vya bara vyetu na vya visiwani ni vyao. Kila siku watawaona watu jasiri kama TL, Dr n.k. ni hatari kwao na CCM ambayo inatetea suala ambalo hata yenyewe sasa haliamini?
 
Dhambi ya UKABURU tukiiendekeza, itatutafuna mpaka tutaparaganyika kabisa.

Leo hii ni Utanganyika na Uzanzibar

Kesho ni Uislam na Ukristo

Keshokutwa ni Usabato na Ukatoliki

Halafu utasikia wewe msukuma mimi mchagga.

Baadae kabisa itafikia wewe wa Kibosho na mimi wa Marangu.

Baadae itakua hawa ni akina Massawe na sisi ni akina Shirima.

Jamani tupunguze jazba ndugu zangu. Mwalimu alituasa tusiendekeze dhambi ya ukaburu...
ikishaanza kututafuna haina siku itakoma... kila siku tutakua tunaconcentrate kwenye tofauti
zetu, badala ya values gani zinatuunganisha na kuwa taifa.

Naamini rais Kikwete alikua mwanafunzi wa Mwalimu na hataruhusu ukaburu unaotaka kuletwa
na Tundu Lissu. Maana hayaonekani ni maoni ya kambi nzima ya upinzani bali ni ya Tundu Lissu
akiendeleza harakati zake recklessly.

Yote aliyosema Lissu yangeweza kabisa kufikishwa kwa utaratibu mzuri wa kuambiana kweli kwa
staha kwenye vikao vya kamati ambavyo inasemekana alikua mtoro. Badala ya kuja pale na kuleta show
isiyokuwa na tija kwa Taifa.
 
Labda ni strateji ya kukonga nyoyo za Wazanzibari na kujenga chama chao cha upinzani huko visiwani!
 
Nauchukia zaidi yako! Na wanaofanya niuchukie ni hao wazanzibari!

Hawa wazanzibari wana dharau sana na ni walalamishi mno, wanakera, yaani ni mzigo kwetu Watanganyika na tusipofanya juhudi kuuvunja huu muungano tutaendelea kuteseka kubeba hili gunia la misumari. Uvunjike muungano warudi kwao hatuwahitaji wala hatuhitaji matusi yao tena.

TO HELL WITH THE UNION.
 
Hebu tuache woga ndugu zangu. Hofu ni akili lakini ikipitiliza ni upumbavu. Wazanzibari siyo miungu hata tuogope kuwaeleza kuwa haya mambo ni yetu. Mbona wao huungana kwa masuala wanayoona yanamaslahi kwao kama nchi?
Na wao wanajua kuwa uranium na tanzanite si vya muungano. Sasa watie neno gani kwenye mijadala inayotuhusu? Wakae kimya watuache tujadiliane sisi na wao wabaki wasikilizaji tu.
Haka kajinchi kanaanza kutupanda kichwani sasa.
Sitaki muungano uvunjike, ila kuuendeleza kwa njia itakayowezesha pande zote ku-win.
Siyo kuja kwetu wawe huru wakati sisi kwenda kwao watudai pass.
Huku ndo tujadiliane nao.
 
Back
Top Bottom