Baba Collin
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 456
- 58
Maneno ya huyo chambo ni makali kiubinadamu kwan hata kama hoja za lissu zilikukwaza si naye angepaswa kujibu kwa hoja?
Huyu ameonesha ni jinsi gani alivyo kilaza.
Tatizo kubwa hapa ni kuwa zanzibar tayari ni nchi kitu kinachoipa nguvu ya kujipambanua kwan inafahamu fika kua hakuna serikali ya tanganyika.
Umefika wakati sasa wa kuwa na serikali ya tanganyika ila kuondoa upuuzi wote huu unaoendelea.
Huyu ameonesha ni jinsi gani alivyo kilaza.
Tatizo kubwa hapa ni kuwa zanzibar tayari ni nchi kitu kinachoipa nguvu ya kujipambanua kwan inafahamu fika kua hakuna serikali ya tanganyika.
Umefika wakati sasa wa kuwa na serikali ya tanganyika ila kuondoa upuuzi wote huu unaoendelea.