Njowepo JF-Expert Member Joined Feb 26, 2008 Posts 9,710 Reaction score 2,249 Aug 26, 2011 #161 Huu muungano watetezi wake wakuu walishavuta wengine mnarashia rashia tuu Kuvunjwa na kuunda serikali tatu ni jambo la muhimu sana!
Huu muungano watetezi wake wakuu walishavuta wengine mnarashia rashia tuu Kuvunjwa na kuunda serikali tatu ni jambo la muhimu sana!
K kiloni JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 575 Reaction score 77 Aug 26, 2011 #162 TzPride said: Hao wala urojo hata wamtukaneje Lissu, jamaa hataacha kusema ukweli daima. Click to expand... Jamani wapeni Zanzibar; Zanzibar yao. hatuwahitaji tena hawa!
TzPride said: Hao wala urojo hata wamtukaneje Lissu, jamaa hataacha kusema ukweli daima. Click to expand... Jamani wapeni Zanzibar; Zanzibar yao. hatuwahitaji tena hawa!