WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
YAMEKUWA HAYO?!!
Mipasho hadi Bungeni jamani?..Mh Chombo Vs Tundu Lissu!
Mipasho hadi Bungeni jamani?..Mh Chombo Vs Tundu Lissu!
Tujuze zaidi wengine tunaendelea na mikakati ya kuhakiksha jairo hasumbuliwi na kamati teule ya bunge
Kweli ni full mipasho maana hata posti yenyewe imeletwa kimipasho...
Hii si sahihi kwa mbungekusimama bungeni na kuanza kumshambulia mtu kwa matusi na kejeli! Hii ni baada ya mh Tundu Lisu kutukanwa na wabunge wawili wa Zanzibar pia mh Spika kukataa muongozo ktk haya! This is not right!
Hebu tujuze zaidi, what really happened?Hii si sahihi kwa mbungekusimama bungeni na kuanza kumshambulia mtu kwa matusi na kejeli! Hii ni baada ya mh Tundu Lisu kutukanwa na wabunge wawili wa Zanzibar pia mh Spika kukataa muongozo ktk haya! This is not right!