mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,597
- 5,606
Angalia msije batizwa kwa moto Bora sisi tulibatizwa kwa maji bariiidiHahahaaa. Lol.
Hapo saa hizi mwenyewe wajua na sisi tutaoga magoli eeeh.
Angalia msije batizwa kwa moto Bora sisi tulibatizwa kwa maji bariiidiHahahaaa. Lol.
Hapo saa hizi mwenyewe wajua na sisi tutaoga magoli eeeh.
Ikitokea sawa tu. 😅😅Angalia msije batizwa kwa moto Bora sisi tulibatizwa kwa maji bariiidi
228 variety 3Hii game itaoneshwa Chanel namba ngapi Dstz
Jibu lipo verse ya piliPamoja na kupigwa kichapo kikali hapo Jana bado una amini hizo mambo?
Mwamnyeto kashatupia bao tayari?Nondo kaanza tuta mapemaaaaaaaa
yani mdogo mtu yuko kombe la wakubwa, halafu kaka mtu yuko kombe la watoto, huyu kaka mjinga kama ningekuwa nae nyumba moja ningefukuzilia mbali akaishi na wajinga wenzie utopoloniTwende kazi Wananchi.
Muwafute machozi wadogo zenu.
Azizi Ki kaanzia sub??Kikosi cha Yanga dhidi ya TP Mazembe View attachment 2523154
Young African 2-1 Tp MazembeKila la Heri Young Africans SC
ataingia kutupia bao la 3Azizi Ki kaanzia sub??
228Dstv wanaonesha Chaneli namba ngapi?
Achomeshe?ataingia kutupia bao la 3