Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,334
- 83,783
Na kile kiporo kimehesabiwa ndani ya hizo mechi auMechi 19 wote
Na kile kiporo kimehesabiwa ndani ya hizo mechi auMechi 19 wote
Ile mechi ya simba kufungwa na prison ndo ilifanya hesabu kuwa ngumu sana kwa simbaKuhusu Ubingwa tujipange next season ila msimu Yanga yuko fara na kwa fomu yake kupoteza mechi ngumu na kama atampiga Azam kesho kutwa basi ubingwa 95% upo kwake.
Hamjaamini? Daraja Maimuna halivuki. Tayari keshachomekea dela kwenye sidilia. FimbaaaaaKuhusu Ubingwa tujipange next season ila msimu Yanga yuko fara na kwa fomu yake kupoteza mechi ngumu na kama atampiga Azam kesho kutwa basi ubingwa 95% upo kwake.
Huko Kwenu Kuna mtu aliwahi kusema Wenye Akili na hikma ni Wa2 tu....!Simba afunge,afungwe, Young afungwe,afunge,yale yale. Ila,kihelehele cha mashabiki ndo mkosi Simba wal
Sishabikii yoyote,ila ukweli usemwe. Young wanacheza mpira na kuburudisha raia. Hata wasiosema,ukweli wanaujua. Full stop.
SahihiIle mechi ya simba kufungwa na prison ndo ilifanya hesabu kuwa ngumu sana kwa simba
sababu mtaji wa point 7 kwa Yanga ni nyingi sana kwake
Utakuwa kichaa,point saba unasema anakaribia kumkamata ili hali idadi ya michezo inalingana?
Ya kimpiraHesabu gani hii?
Keshawahi kuwapiga Al Ahly goli mbili peke yake,kawafunga Utopolo,AS Vita ya moto,labda kama nazo ni timu ndogoHata apige hat trick inaeleweka ni mchezaji wa mechi ndogo
Kiporo imeshaisha,mbona wote Simba na Yanga wamecheza mechi 19,hizo timu zingine kina Azam ndo wapo mbele kimichezoBado tuna kiporo na mtibwa kwahiyo wametutangulia mechi moja
Point 7 chache sanaUtakuwa kichaa,point saba unasema anakaribia kumkamata ili hali idadi ya michezo inalingana?
Waache watape tapeKeshawahi kuwapiga Al Ahly goli mbili peke yake,labda kama nayo ni timu ndogo
Bado sanaKuhusu Ubingwa tujipange next season ila msimu Yanga yuko fara na kwa fomu yake kupoteza mechi ngumu na kama atampiga Azam kesho kutwa basi ubingwa 95% upo kwake.
Ndy ni chache kwenye hesabu za TUKI &WAKI ila kwenye hesabu ya kila mtu ashinde mechi zake ukurasa umeshafugwa kitambo Sana.Point 7 chache sana
We endelea kujitekenya. Kwamba anamzidi au wanalingana mbio?! Sahau
Prison ni MAMMBWA tu. baada ya kujiona wameifunga simba wakaja kulakichapo kwa Mtibwa..nguvu ya soda.Ile mechi ya simba kufungwa na prison ndo ilifanya hesabu kuwa ngumu sana kwa simba
sababu mtaji wa point 7 kwa Yanga ni nyingi sana kwake