Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,864
- 41,216
Patashika ya ligi kuu kuendelea leo, kwa kukutanisha wekundu wa Msimbazi dhidi ya wazee wa Mapigo na Mwendo baada ya futari. Muda ni saa mbili na robo usiku, Azam complex
Game ishaanza dakika ya 18 bado bila bila
Yellow card Michael Masinda kamfanyia Saido faulo, game inaendelea
Dakika ya 28 bado milango migumu ila hawa maafande wanatumia nguvu nyingi sana
Added time 3 minutes
Dk 56, Chama anatupatia goal
Jingine toka kwa Triple C
Full time Simba sc 2 Mashujaa FC 0
Game ishaanza dakika ya 18 bado bila bila
Yellow card Michael Masinda kamfanyia Saido faulo, game inaendelea
Dakika ya 28 bado milango migumu ila hawa maafande wanatumia nguvu nyingi sana
Added time 3 minutes
Dk 56, Chama anatupatia goal
Jingine toka kwa Triple C
Full time Simba sc 2 Mashujaa FC 0