Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 49,147
- 43,326
- Thread starter
- #21
Bado sanaNdoo tushaichukua. Gepu la point 10 kubwa sana. Tuliwaonea huruma GG wasijekula 5 zikawacost kwenye kushuka daraja.
Bado sanaNdoo tushaichukua. Gepu la point 10 kubwa sana. Tuliwaonea huruma GG wasijekula 5 zikawacost kwenye kushuka daraja.
Pambaneni nafasi ya tatu ni haki yenuTuna taarifa watu wanataka kutuhujumu.
Ila Mashujaa hamtaamini kabisa macho yenu!!
Nani kasemaMechi za kukamilisha ratiba
Ulie mu- quoteNani kasema
Chezeni mechi 8 kwanza ndio tuamueKama vp ligi iishie hapa tufanye mengine
3 banaMashujaa chukueni point 1 hapo.
Mimi ni mbumbumbu mwenzako mkuuChezeni mechi 8 kwanza ndio tuamue
Sawa mwana LunyasiMimi ni mbumbumbu mwenzako mkuu
Mkuu naona Hadi umeishiwa nguvu ya kuanzisha Uzi...Tuna taarifa watu wanataka kutuhujumu.
Ila Mashujaa hamtaamini kabisa macho yenu!!
Dua la kukuLolote Baya liwakute msimbazi ameen.
Jisemee ila kimoyo moyo unajua 🦁 ni mubayaLazima wagawane point
Adui Muombee njaa!Dua la kuku
🙆Adui Muombee njaa!