cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,762
- 137,494
Mmeanzaa waja,
Hebu peleka kwenye uzi wao wa bleach, je akiwa ameleft unataka uwe basha wake?
Mmeanzaa waja,
Sasa uandke vzr, una haraka gan kwan?Naona leo Bwana yenu chama ameamka na siku mbovu!!. Ombeni Sanaa arudinkwe ye siku zake ndio mtashinda. Simba bila kuamka vzr kwa chma ni sawa na bureeeeeeee.
Benchka ni sawa na Matola Hana muujiza wowote
Asec amefuzu
whydad amefuzu.
Nafasi ya Saidoo nafikiri ingemfaa Kibu DBora Saidoo kuliko Mzamiru amekuwa hewa sana recently