FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,816
4,566
1700853834370.png
Leo 25/11/2023 katika dimba la Bnjamini Mkapa Dar es Salaam unatarajiwa kuchezwa mchezo wa kwanza wa Kundi B kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya Asec Mimosa ya Ivory Coast.

Mechi hii itaanza majira ya saa 10 kamili jioni.

Upi mtazamo wako kuhusu mechi hii?

1700917069210.png


1700917171570.png

Dakika ya 44 gooooal Saidoo. Simba 1 - 0 Asec

Goli la Serge Pokou wa ASECMimosas ya IvoryCoast limesababisha mashabiki wa Simba watoke Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam wakiwa wanyonge baada ya mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi B kumalizika kwa sare ya 1-1 licha ya Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ kutangulia kufunga

Mchezo ujao ni Desemba 2, 2023, Simba itakuwa ugenini Nchini Botswana kucheza dhidi ya JwanengGalaxy wakati ASEC itaikaribisha Wydad ya Morocco
 
Pamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.

Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud.

Tanzania first, Tanzania above all.

Peace
 
Pamoja na kwamba mmefurahia sana sisi kufungwa, wengine mkaenda mbali kwa kututukana matusi ya nguoni ila mimi nawatakia heri kwa moyo mkunjufu kabisa.

Go mtani, peperusha bendera vyema & make us proud...
Aliyetabiri Yanga itafungwa leo hii tokana na uchovu wa Wachezaji toka kwenye timu za Taifa alibezwa sana na Washabiki Maandazi "Mamluki".

Yanga kafungwa 3 na ni dhahiri akina Aziz Ki, Zengeli hata Lomalisa hawakuwa kwenye ubora wao wa siku zote.

Wananchi tusiwe kama Mbumbumbu SC fans ambao huingia na matokeo yao uwanjani 1 kwa 1 maana mpira huwa hautabiriki..

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom