Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kama Rais Magufuli na vyombo vyake vya polisi wanadhani watatufanyia uhuni kama walivyofanya kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019, mpatanishi atakua Katibu wa Umoja wa Mataifa.
#DevelopmentIsWoman
#MaendeleoNiMwanamke
#NoHateNoFear
#DevelopmentIsWoman
#MaendeleoNiMwanamke
#NoHateNoFear