Hakuna familia isiyokuwa na shida ila shida utofautianaLakini usishangae ndo mawazo yake huku akisahau kwamba hata huko Amerika wana shida sana mambo ya uchaguzi katika vyama vyao.
Kibaiolojia tumbo ni la kutunzia kinyesi kwa bahati mbaya au kutokana na Mutation mwil wako umegeuza hilo kichwa ndio unatunzia kinyesi halafu tumbo ndio linatunza ubongoNdio matatizo ya Mbowe akihutibia huku amekanyaga vodka
Hiding behind the keyboard, makes one become very powerful to say anything."Oppressed people cannot remain oppressed forever"
"A riot is the language of an unheard"
Martin Luther King JR Voice.