Ila mimi sina maumivuHahahaaaa! Umeanza kuleta fyokofyoko or sorry chokochoko!
Pole sana usilolijua ni kama usiku wa gizaMbowe pesa aliyonayo ni ile ruzuku na michango ya chama aliyopiga panga vinginevyo hana traceable business......
Wewe za kwako na za familia ziko wapi?We jibu swali kwamba Mbowe ni Billionare
1. Aishi Hotel niya familia
2. Billcanas ni jengo la Serikali na hakuna tena biashara
3. Tanzania Daima - haitoshi kusema mtu ni Billionare
Sasa sema u Billionare wake uko wapi? Mbowe ni Mwanasiasa na Mwenyekiti wa Chama cha Siasa period