Demokrasia: Mbowe na Lipumba washauriwe wapishe na ziingie fikra mpya kwenye Siasa za Vyama vingi

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
16,365
12,823
Friends and Enemies,

Muda unakimbia Sana,mwaka 1992 tulipoingia kwenye vyama vingi na kuanza kwa uchaguz wa kwanza wa vyama vingi 1995,unaweza dhan kama ni majuz tuh,lakin ni miaka zaid ya ya miaka 26 hizi sura z hawa wanaojiita wapigania demokrasia ndan ya nchi hii hazijawahi kubadilika.

Siyo mbowe, lipumba,mbatia,cheyo Wala mrema na wengine wengi ambao wamekubali kuruhusu fikra mpya ziongoze vyama vyao,kila siku wao wanajiona ndiyo pekee wenye uhalali wa kutawala vyama hivyo huku wakisahau kutengeneza succession plan ya vyama hivyo wakisingizia eti wakitoka wao ccm wataweka mamluki.

Had hapa tulipofikia,tuseme INATOSHA sasa MBOWE na wenzake wakae kando na kuruhusu fikra mpya ziendeleze pale walipoishia na wao wakibakia kama walez na washaur wa vyama hivyo.

Ila kama hawataki na wataendelea na ukaidi mwisho wao ni kufia madarakan kama maalim seif au kuishia kupewa kesi za ugaidi kama freeman mbowe.
 
Napenda spirit ya football match, Wachezaji,bench la fundi na mashabiki huwa pamoja muda wote focus ushindi Hadi kipenga Cha mwisho.Propaganda zako so cheap.
 
Napenda spirit ya football match, Wachezaji,bench la fundi na mashabiki huwa pamoja muda wote focus ushindi Hadi kipenga Cha mwisho.Propaganda zako so cheap.

Acheni kumjaza ujinga mwenyekiti mbowe,ni mtu mwenye familia pia yule,kuwen na huruma hiv sasa yupo jela kwa kesi ya ugaid nyinyi hata kuandamana huku nje hamtaki,mumemuacha pekeyake,huo siyo umoja
 
Yaani hizo ni ajira tu zinazowapatia kipato ili maisha yaende
Ila tusitegemee hata siku moja eti watakuja kuwatoa hapo mlipo never
Yaani Siasa ni kazi ambayo unastaafu ukitaka
Na hata ukifanya kosa gani kujiuzuru ni aibu kwa mwafrika
 
Mkuu,hata kama hataki muda siyo rafiki Tena kwake,badala ya kutoka kwa heshima anaitwa gaidi sasa

Naiona hoja yako kwenye uzi namba moja, mimi binafsi sio muumini wa mtu kukaa muda mrefu kama alivyokaa Nyerere, Mbowe, Mrema, Lipumba nk. Sasa tuje kwenye uhalisia, wakati Zito akiwa cdm alikuwa anapinga mwenendo wa Mbowe kuwa mwenyekiti muda mrefu na alikuwa sahihi. Kaenda ACT anafanya yale yale aliyoyakataa akiwa cdm, na huko ndio amebuni cheo chake ambacho hakina ushindani wowote!

Tuhamie kwako sasa mleta uzi, ili usiendelee kuteseka na hivi vyama vya upinzani, kwanini usianzishe chama chako kiwe cha mfano, halafu tuone haya mapendekezo yako yanavyofanya kazi?
 
Friends and Enemies,

Muda unakimbia Sana,mwaka 1992 tulipoingia kwenye vyama vingi na kuanza kwa uchaguz wa kwanza wa vyama vingi 1995,unaweza dhan kama ni majuz tuh,lakin ni miaka zaid ya ya miaka 26 hizi sura z hawa wanaojiita wapigania demokrasia ndan ya nchi hii hazijawahi kubadilika.

Siyo mbowe, lipumba,mbatia,cheyo Wala mrema na wengine wengi ambao wamekubali kuruhusu fikra mpya ziongoze vyama vyao,kila siku wao wanajiona ndiyo pekee wenye uhalali wa kutawala vyama hivyo huku wakisahau kutengeneza succession plan ya vyama hivyo wakisingizia eti wakitoka wao ccm wataweka mamluki.

Had hapa tulipofikia,tuseme INATOSHA sasa MBOWE na wenzake wakae kando na kuruhusu fikra mpya ziendeleze pale walipoishia na wao wakibakia kama walez na washaur wa vyama hivyo.

Ila kama hawataki na wataendelea na ukaidi mwisho wao ni kufia madarakan kama maalim seif au kuishia kupewa kesi za ugaidi kama freeman mbowe.
mbowe kaishiwa technique hadi anafadhili vibaka wa kulipua petrol stations. hivi hakuna vijana wasomi huko hadi mnahangaika na huyu DJ wa bilicanas tena aliyekataa shule?
 
mbowe kaishiwa technique hadi anafadhili vibaka wa kulipua petrol stations. hivi hakuna vijana wasomi huko hadi mnahangaika na huyu DJ wa bilicanas tena aliyekataa shule?
Unakosea kuwaza Mimi ni mwanachama wa chama chochote Cha siasa Mkuu
 
Naiona hoja yako kwenye uzi namba moja, mimi binafsi sio muumini wa mtu kukaa muda mrefu kama alivyokaa Nyerere, Mbowe, Mrema, Lipumba nk. Sasa tuje kwenye uhalisia, wakati Zito akiwa cdm alikuwa anapinga mwenendo wa Mbowe kuwa mwenyekiti muda mrefu na alikuwa sahihi. Kaenda ACT anafanya yale yale aliyoyakataa akiwa cdm, na huko ndio amebuni cheo chake ambacho hakina ushindani wowote!

Tuhamie kwako sasa mleta uzi, ili usiendelee kuteseka na hivi vyama vya upinzani, kwanini usianzishe chama chako kiwe cha mfano, halafu tuone haya mapendekezo yako yanavyofanya kazi?

I think zito kabwe alianza kuleta choko choko baada ya kuona hakuna dalili ya mbowe kuachia madaraka ya uenyekiti,kama nayy ameanza kuwa na fikra kama za mbowe ni wa kumpinga vile vile
 
Friends and Enemies,

Muda unakimbia Sana,mwaka 1992 tulipoingia kwenye vyama vingi na kuanza kwa uchaguz wa kwanza wa vyama vingi 1995,unaweza dhan kama ni majuz tuh,lakin ni miaka zaid ya ya miaka 26 hizi sura z hawa wanaojiita wapigania demokrasia ndan ya nchi hii hazijawahi kubadilika.

Siyo mbowe, lipumba,mbatia,cheyo Wala mrema na wengine wengi ambao wamekubali kuruhusu fikra mpya ziongoze vyama vyao,kila siku wao wanajiona ndiyo pekee wenye uhalali wa kutawala vyama hivyo huku wakisahau kutengeneza succession plan ya vyama hivyo wakisingizia eti wakitoka wao ccm wataweka mamluki.

Had hapa tulipofikia,tuseme INATOSHA sasa MBOWE na wenzake wakae kando na kuruhusu fikra mpya ziendeleze pale walipoishia na wao wakibakia kama walez na washaur wa vyama hivyo.

Ila kama hawataki na wataendelea na ukaidi mwisho wao ni kufia madarakan kama maalim seif au kuishia kupewa kesi za ugaidi kama freeman mbowe.
Kwani Fikra Mpya mpaka uwe Mwenyekiti hayo ni Mawazo ya KIPUMBAVU
 
Kwanini nao ccm isitoke madarakani vile imeshindwa kuleta haueni kwa watanzania miaka 60 hawajui kodi wakusanye wapi wemekimbilia kwenye tozo aibu sana!!
 
Friends and Enemies,

Muda unakimbia Sana,mwaka 1992 tulipoingia kwenye vyama vingi na kuanza kwa uchaguz wa kwanza wa vyama vingi 1995,unaweza dhan kama ni majuz tuh,lakin ni miaka zaid ya ya miaka 26 hizi sura z hawa wanaojiita wapigania demokrasia ndan ya nchi hii hazijawahi kubadilika.

Siyo mbowe, lipumba,mbatia,cheyo Wala mrema na wengine wengi ambao wamekubali kuruhusu fikra mpya ziongoze vyama vyao,kila siku wao wanajiona ndiyo pekee wenye uhalali wa kutawala vyama hivyo huku wakisahau kutengeneza succession plan ya vyama hivyo wakisingizia eti wakitoka wao ccm wataweka mamluki.

Had hapa tulipofikia,tuseme INATOSHA sasa MBOWE na wenzake wakae kando na kuruhusu fikra mpya ziendeleze pale walipoishia na wao wakibakia kama walez na washaur wa vyama hivyo.

Ila kama hawataki na wataendelea na ukaidi mwisho wao ni kufia madarakan kama maalim seif au kuishia kupewa kesi za ugaidi kama freeman mbowe.
Hao wote chanjo imesha take it's toll,wamebakisha a few days,weeks or months.Na kabla ya pigo la mwisho nadhani hatutawasikia tena,labda kama wamedungwa maji ya sindano na Vitamin B complex
 
I think zito kabwe alianza kuleta choko choko baada ya kuona hakuna dalili ya mbowe kuachia madaraka ya uenyekiti,kama nayy ameanza kuwa na fikra kama za mbowe ni wa kumpinga vile vile

Ameanza kuwa kama Mbowe, kwani umesikia nafasi yake ikigombewa na mtu yoyote? Au hiyo darubini yako inachagua vya kuona?
 
wakati Zito akiwa cdm alikuwa anapinga mwenendo wa Mbowe kuwa mwenyekiti muda mrefu na alikuwa sahihi. Kaenda ACT anafanya yale yale aliyoyakataa akiwa cdm, na huko ndio amebuni cheo chake ambacho hakina ushindani wowote!
masahihisho:
hicho cheo cha kiongozi wa chama pia kinagombaniwa na katika uchaguzi uliopoita tulishuhudia zitto na ismail jussa wakichuana (labda tuseme ulikuwa ni mchezo wa kuigiza).

1627657761068.png
 
masahihisho:
hicho cheo cha kiongozi wa chama pia kinagombaniwa na katika uchaguzi uliopoita tulishuhudia zitto na ismail jussa wakichuana (labda tuseme ulikuwa ni mchezo wa kuigiza).

View attachment 1874232

Hicho kinachomliza mleta mada ni nini kama hata Mbowe anashindana kwenye uchaguzi?
 
Hicho kinachomliza mleta mada ni nini kama hata Mbowe anashindana kwenye uchaguzi?
demokrasia ya kubadili viongozi isiwe sababu ya kutuondolea wale wenye fikra na mawazo bora na kutuletea wababaishaji, kuepusha hilo panahitajika uchunguzi wa kutosha kwa kiongozi mlengwa ili kutuepusha na mabalaa yasioweza kufutika kwa urahisi pindi atakapoondoka yeye madarakani.

Hao CCM wanaojisifu kuwa ni waumini wa demokrasi ndio walituletea kichwa ngumu mfano wa magufuli aliyeharibu mambo mengi ya taifa hili kwa muda mfupi,
 
Back
Top Bottom