Freeman Mbowe kutoa Msimamo wa CHADEMA kuhusu Sakata la Bandari ya Dar es Salaam, leo Juni 7, 2023

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Jan 29, 2021
573
2,553
Baada ya mashauriano ya viongozi waku waliopo safarini nje ya nchi Mwenyekiti wa Chama Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe, Makamu Mwenvekiti Bara Mheshimiwa Tundu Lissu a Katibu Mkuu Mheshimiwa John Mnyika kwamba, kwa sababu ya unyeti na uharaka wa suala hili la makubaliano kati ya Tanzania na Dubai, Mwenyekiti atatoa tamko fupi la awali kuhusu msimamo wetu kama Chama.

Tamko hilo litatolewa leo Jumatano tarehe 7 Mei, 2023 kwa njia ya zoom majira ya saa 9 mchana kwa saa za Tanzania, na kurushwa mbashara kwenye mitandao ya kijamii ya Chama.

Baada ya tamko hilo la awali, na baada va kukamilisha chambuzi wa kina wa makubaliano yenyewe, kitaitishwa kikao cha dharura cha Kamati Kuu ili kuweka msimamo wa mwisho wa Chama kwa tarehe itakayotangazwa.

IMG_7499.jpeg
 
Kufuatia sakata la Bandari za Tanzania na Serikali ya Dubai, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe anatarajiwa kutoa tamko kuhusu msimamo wa Chama chake, leo 07.05.2023 saa tisa alasiri!
Chadema.jpg
 
Hii barua pamoja na makosa ya tarehe Chadema wote mmeendelea kuisambaza hivyo hivyo
Hili ni tatizo la wengi hasa hapa kwetu, kitu kinachoandikwa huwa muhimu sana, lakini hakuna editing hata kidogo na spelling proofing; wao wana saini au kupost bila kuangalia
 
 
Baada ya mashauriano ya viongozi waku waliopo safarini nje ya nchi Mwenyekiti wa Chama Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe, Makamu Mwenvekiti Bara Mheshimiwa Tundu Lissu a Katibu Mkuu Mheshimiwa John Mnyika kwamba, kwa sababu ya unyeti na uharaka wa suala hili la makubaliano kati ya Tanzania na Dubai, Mwenyekiti atatoa tamko fupi la awali kuhusu msimamo wetu kama Chama.

Tamko hilo litatolewa leo Jumatano tarehe 7 Mei, 2023 kwa njia ya zoom majira ya saa 9 mchana kwa saa za Tanzania, na kurushwa mbashara kwenye mitandao ya kijamii ya Chama.

Baada ya tamko hilo la awali, na baada va kukamilisha chambuzi wa kina wa makubaliano yenyewe, kitaitishwa kikao cha dharura cha Kamati Kuu ili kuweka msimamo wa mwisho wa Chama kwa tarehe itakayotangazwa.


View attachment 2648591
Mbona wanauza vya Tanganyika tu ? Huko kwao hakuna cha kuuza?
 
Taarifa kutoka Chadema inaeleza kwamba , kutokana na unyeti na Dharula ya sakata la Bandari , haikuona sababu ya kusubiri viongozi Wakuu Wamalize ziara yao huko Ulaya ndipo walijadili .

Ndio maana Chama kimemtuma Mwenyekiti wake Freeman Mbowe kulizungumzia haraka akiwa huko huko nje ya Nchi bila kusubiri

Taarifa iliyosambazwa na Chadema hii hapa .

FB_IMG_1686124937019.jpg
 
Taarifa kutoka Chadema inaeleza kwamba , kutokana na unyeti na Dharula ya sakata la Bandari , haikuona sababu ya kusubiri viongozi Wakuu Wamalize ziara yao huko Ulaya ndipo walijadili .

Ndio maana Chama kimemtuma Mwenyekiti wake Freeman Mbowe kulizungumzia haraka akiwa huko huko nje ya Nchi bila kusubiri

Taarifa iliyosambazwa na Chadema hii hapa .

View attachment 2648803
Mungu ibariki CHADEMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa kutoka Chadema inaeleza kwamba , kutokana na unyeti na Dharula ya sakata la Bandari , haikuona sababu ya kusubiri viongozi Wakuu Wamalize ziara yao huko Ulaya ndipo walijadili .

Ndio maana Chama kimemtuma Mwenyekiti wake Freeman Mbowe kulizungumzia haraka akiwa huko huko nje ya Nchi bila kusubiri

Taarifa iliyosambazwa na Chadema hii hapa .

View attachment 2648803
Ni jambo jema
 
Asipopiga U turn nitamuunga mkono.

Ila kwa sababu yupo na Lisu na Mnyika nina hakika hatawangusha
 
Back
Top Bottom