Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,791
- 218,420
Shetani hajawahi kumshinda MunguDaa hii chama imesukwa, imepigwa, imefanyiwa uharamia mwingi na Mengine mengi ila mkono wa Mungu uliendelea kuwa juu yao.
sasa wewe si umekuja inatoshaThread zako hazina wachangiaji ila kwa uzi wa Mondi ndio wamejazana huko
Mungu ibariki CHADEMAJimbo la Tabora Mjini ni miongoni mwa Majimbo ambayo yametoa wasaliti wa Covid 19 , Hawa Mwaifunga anatokea Jimbo hili , hivyo ni lazima kuwekwe mikakati maalum kwenye jimbo hili , na ndio maana Mwamba Mwenyewe ameombwa kuongoza kikao hiki na amekubali
View attachment 1811439
View attachment 1811429
AminaMungu ibariki CHADEMA
Ina wabunge wangapi?CHADEMA wana roho ya paka. Roho saba kuanzia mkiani hata upige vipi hawafi.
Walimnunua Dr.Slaa sasa hivi watu hata hawamkumbuki.
Wamenunua Covid19 bado CHADEMA wapo ngangali.
roho ya paka!
NENDA CHATO KABURINI KAMUULIZE MWIZI WA KURA ALIIBA KURA ZA WABUNGE WANGAPI?Ina wabunge wangapi?
Acha kujifariji wewe!NENDA CHATO KABURINI KAMUULIZE MWIZI WA KURA ALIIBA KURA ZA WABUNGE WANGAPI?
NA NINI KILIMPATA BAADA YA KUNAJISI UCHAGUZI?
Tendeni haki haya maisha ni mafupi sana!.
Dah Oxygen Pub & Lounge hahahaha basi tuChama la WaTanzania Kazini...Mboka imerindima nipo mitaa ya Oxygen aisee Unyanyembe imebadilika sana....
Haya umetetea wizi wa kura. Nenda Lumumba kachukue elfu 7 yako.Acha kujifariji wewe!
Chato ndio kulifanya mpate mbunge mmoja?
Wabunge wanapatikna kwa mikakati siyo porojo za kugombana na diamond
Mshahara wa dhambi ni mauti , endelea kuchekelea wizi uteketeeAcha kujifariji wewe!
Chato ndio kulifanya mpate mbunge mmoja?
Wabunge wanapatikna kwa mikakati siyo porojo za kugombana na diamond
Siku hizi wanapewa buku 1 ya nauli na chakula cha mchana wanapewa hapo Lumumba kwa bili kwenye daftari wanaandika jina la shaka kwa mama muuza makande ya kwenye ndoo yale ya mia nane,Haya umetetea wizi wa kura. Nenda Lumumba kachukue elfu 7 yako.