Freeman Mbowe aongoza Mkutano Mkuu wa Jimbo la Tabora Mjini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
116,476
215,319
Jimbo la Tabora Mjini ni miongoni mwa Majimbo ambayo yametoa wasaliti wa Covid 19 , Hawa Mwaifunga anatokea Jimbo hili , hivyo ni lazima kuwekwe mikakati maalum kwenye jimbo hili , na ndio maana Mwamba Mwenyewe ameombwa kuongoza kikao hiki na amekubali

Hilda_Newton_on_Instagram:_“Mwenyekiti_wa_CHADEMA_Taifa_Mhe._Freeman_Mbowe_akiongoza_kikao_cha...jpg

Official_BAVICHA_Taifa_on_Instagram:_“Tunasonga_kidigitali%0A%0A#TumeHuruyaUchaguzi%0A#KatibaM...jpg


BAVICHA_&_CHASO_on_Instagram:_“Leo_Juni_07,_2021_mapokezi_ya_mwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_M...jpg
 
Safari ni mwendo lakini Chadema bado mna safari ndefu sana mpaka kukifikia kile chama kikubwa kuliliko vyote kwenye histori ya Tanzania.
 
Thread zako hazina wachangiaji ila kwa uzi wa Mondi ndio wamejazana huko
 
CHADEMA wana roho ya paka. Roho saba kuanzia mkiani hata upige vipi hawafi.

Walimnunua Dr.Slaa sasa hivi watu hata hawamkumbuki.
Wamenunua Covid19 bado CHADEMA wapo ngangali.

roho ya paka!
 
CHADEMA wana roho ya paka. Roho saba kuanzia mkiani hata upige vipi hawafi.

Walimnunua Dr.Slaa sasa hivi watu hata hawamkumbuki.
Wamenunua Covid19 bado CHADEMA wapo ngangali.

roho ya paka!
Ina wabunge wangapi?
 
NENDA CHATO KABURINI KAMUULIZE MWIZI WA KURA ALIIBA KURA ZA WABUNGE WANGAPI?
NA NINI KILIMPATA BAADA YA KUNAJISI UCHAGUZI?
Tendeni haki haya maisha ni mafupi sana!.
Acha kujifariji wewe!

Chato ndio kulifanya mpate mbunge mmoja?

Wabunge wanapatikna kwa mikakati siyo porojo za kugombana na diamond
 
Haya umetetea wizi wa kura. Nenda Lumumba kachukue elfu 7 yako.
Siku hizi wanapewa buku 1 ya nauli na chakula cha mchana wanapewa hapo Lumumba kwa bili kwenye daftari wanaandika jina la shaka kwa mama muuza makande ya kwenye ndoo yale ya mia nane,
Shaka anajitolea mfukoni kwake kawaambia bajeti ya buku 7 ilishafutwa october 2020 baada ya mwendazake kutumia njia nyingine korofi kushinda uchaguzi.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom