Mkutano Mkuu wa Jimbo la Chalinze Oktoba 11: Tulipotoka, tulipo, tunapoelekea

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
328
414
Kumekucha Chalinze!!

Ni Jumatano hii ya Oktoba 11, 2023 ambapo Jimbo la Chalinze chini ya Mbunge wake ambaye pia ni Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete litafanya Mkutano mkubwa wa Jimbo la Chalinze. Mkutano huo utatumika kueleza mambo makubwa yaliyofanyika katika Jimbo la Chalinze katika kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kutekeleza Ilani ya CCM ya 2020-2025, kusukuma maendeleo ya wananchi na kutatua kero zao katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu, afya, maji, kilimo, miundombinu, nishati n.k.

Mkutano huu Mkuu pia utatumika kueleza mikakati na mipango ya Jimbo kuwawezesha vijana, kupambana na changamoto ya ajira, kutangaza fursa za uwekezaji na maendeleo zinazopatikana Chalinze na mengine mengi. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dotto Biteko.
11969fbfaa1b4282bc37e56ca1fbf617.jpg

KaziInaendeleaChalinze.
 
Kumekucha Chalinze!!

Ni Jumatano hii ya Oktoba 11, 2023 ambapo Jimbo la Chalinze chini ya Mbunge wake ambaye pia ni Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete litafanya Mkutano mkubwa wa Jimbo la Chalinze. Mkutano huo utatumika kueleza mambo makubwa yaliyofanyika katika Jimbo la Chalinze katika kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kutekeleza Ilani ya CCM ya 2020-2025, kusukuma maendeleo ya wananchi na kutatua kero zao katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu, afya, maji, kilimo, miundombinu, nishati n.k.

Mkutano huu Mkuu pia utatumika kueleza mikakati na mipango ya Jimbo kuwawezesha vijana, kupambana na changamoto ya ajira, kutangaza fursa za uwekezaji na maendeleo zinazopatikana Chalinze na mengine mengi. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dotto Biteko.
View attachment 2776068
KaziInaendeleaChalinze.
Mambo mazuri si unayaona tu hamna haja ya kutumia nguvu kuyaeleza hayo mazuri kama yapio ,mfano umeme
 
Back
Top Bottom