Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,753
- 19,987
Mapambano YAnaendelea....
sukuma gang et al.Daah, Wasukuma ndio wenye kushika umoja wa nchi hii, muwatukane nyinyi halafu wawape ng'ombe nyinyi
Kwetu Hai, kuliko wachaga wengi, lkn ukweli kabisa, Sisi wachaga, tumejitofautisha Sana na makabila mengi ya nchi hii, ni wabaguzi wa wawaziwazi kabisa, mfano mdogo kabisa, nadhani tunakubaliana na kila mtu aliyewahi kufika kwetu atakuwa amewahi kujionea haya
Mgeni akija kwetu, Akafungua Duka/biashara, nakwambia hata akiwa na bidhaa zinazohitajika Kwa eneo Hilo, mtu Yuko tayari kutembea klimoita moja kwenda Kwa mchaga mwenzake kufuata bidhaa ambayo IPO kwenye Duka la jirani yake, shida tu eti siyo wa kabila lake
Ni tofauti kabisa na makabila mengine kama Wasukuma n.k hawana huo ujinga wetu
Najaribu kujitofautisha na misimamo ya mababu zetu zilizopitwa wakati ili tuwe Taifa moja lenye tofauti ya makabila, nitaendelea kujifunza Kwa Wasukuma na kwingineko, nadhani pia, nitakuwa balozi nitakayehakikisha kabila letu linaondokana na ubaguzi huu,
Mbowe nitaendelea kumpinga popote pale, hasa kwenye kuendekeza ubaguzi wa wawazi Kwa Wasukuma na bahati nzuri Rafiki zangu hawa wasukuma wamemfanya ajishitaki moyoni, kawasema vibaya, wakamtendea mema
Sukuma hoyeee!!
Mwenda zake alikuachia mimba,Angekuwepo Mwendazake angewalazimisha wazee hao wamkabidhi yeye na sio mpinzani.
Amekabidhiwa Bonge la Lijing'ombe na wazee wa MwanzaDuh,huyu tapeli huyu malyenge
Inawezekana kweli ni tapeli ila jambo la msingi aache kauli za kibaguzi ajue kabisa kama anataka CHADEMA kuaminika ni muhimu sana kukifanya chama kuwa na mtazamo wa kitaifa zaidi badala ya kama alivyofanya juzi kutoa shutuma zisizo na uthibisho wala uhakika.Duh,huyu tapeli huyu malyenge
Inawezekana kweli ni tapeli ila jambo la msingi aache kauli za kibaguzi ajue kabisa kama anataka CHADEMA kuaminika ni muhimu sana kukifanya chama kuwa na mtazamo wa kitaifa zaidi badala ya kama alivyofanya juzi kutoa shutuma zisizo na uthibisho wala uhakika.
Hakuna jinsi aliwe mchuzi na "kichuri" na nyama choma tu!Zawadi hii yenye maana nzito sana amekabidhiwa Mwamba Mbowe na Wazee wa Kata ya Igombe wakati wa Kikao cha ndani cha Operesheni Haki kwa majimbo ya Nyamagana na Ilemela.
Kwa niaba yangu na familia yangu nachukua nafasi hii kuwashukuru Wazee wa Mwanza kwa zawadi hii kwa Mwamba Mbowe ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa Mwamba katika kupigania Demokrasia nchini Tanzania.
Wazee ni Hazina.
porojo zipi weweee?Kwa lipi, Kwa porojo?
Zawadi hii yenye maana nzito sana amekabidhiwa Mwamba Mbowe na Wazee wa Kata ya Igombe wakati wa Kikao cha ndani cha Operesheni Haki kwa majimbo ya Nyamagana na Ilemela.
Kwa niaba yangu na familia yangu nachukua nafasi hii kuwashukuru Wazee wa Mwanza kwa zawadi hii kwa Mwamba Mbowe ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa Mwamba katika kupigania Demokrasia nchini Tanzania.
Wazee ni Hazina.
Unatukana walio hai kwa ajili ya maiti, mbaya zaidi umeitukana maiti yenyewe, ndugu zake na Chama chake kwa ujumla.Mwenda zake alikuachia mimba,
Usijali hii utajifungua tu kisha utamsahau
Ndio uache kumtaja taja hata kwa mambo ya kijinga ili isionekane alikuwa anakufanyia hayo!Unatukana walio hai kwa ajili ya maiti, mbaya zaidi umeitukana maiti yenyewe, ndugu zake na Chama chake kwa ujumla.
Kwamba mwendazake alikuwa akishiri ushoga
Unaijua Igombe au kutaka uonekane ume comment?Mhhh, wazee wa Mwanza waishi Igombe? Kiki tu huko kuna wavuvi tu tusidanganye.
Kwa Wavuvi hakuna WAZEE?
Au kwako wewe wazee ni wa Dar es salaam tu?
Watakuwa wazee wa Kichaga waliopo Mwanza