Freeman Mbowe akabidhiwa zawadi ya Ng'ombe na Wazee wa Mwanza kama Shukrani ya Kutambua mchango wake kwa mapambano ya Demokrasia ya Tanzania

Zawadi hii yenye maana nzito sana amekabidhiwa Mwamba Mbowe na Wazee wa Kata ya Igombe wakati wa Kikao cha ndani cha Operesheni Haki kwa majimbo ya Nyamagana na Ilemela .

Kwa niaba yangu na familia yangu nachukua nafasi hii kuwashukuru Wazee wa Mwanza kwa Zawadi hii kwa Mwamba Mbowe ikiwa ni ishara ya kutambua Mchango wa Mwamba katika kupigania Demokrasia nchini Tanzania .

Wazee ni Hazina .

View attachment 1807515
wasukuma hao hao uwatukane hao hao uwatake kura kwa sqbabu kumtukana Magufuli ni kuwatukana wasukuma wote mbona huyu Mr zero na tapeli la kisiasa anatuona ss mafara sqna kwamba Usukumani ndio sehemu ya kufanyia maigizo
 
Zawadi hii yenye maana nzito sana amekabidhiwa Mwamba Mbowe na Wazee wa Kata ya Igombe wakati wa Kikao cha ndani cha Operesheni Haki kwa majimbo ya Nyamagana na Ilemela .

Kwa niaba yangu na familia yangu nachukua nafasi hii kuwashukuru Wazee wa Mwanza kwa Zawadi hii kwa Mwamba Mbowe ikiwa ni ishara ya kutambua Mchango wa Mwamba katika kupigania Demokrasia nchini Tanzania .

Wazee ni Hazina .

View attachment 1807515
Mwamba anazidi kuchanja mbuga. Amsha amsha hii ni kiboko
 
wasukuma hao hao uwatukane hao hao uwatake kura kwa sqbabu kumtukana Magufuli ni kuwatukana wasukuma wote mbona huyu Mr zero na tapeli la kisiasa anatuona ss mafara sqna kwamba Usukumani ndio sehemu ya kufanyia maigizo
Wanaotukanwa ni Sukuma Gang.....Kuna sukuma gang na Sukuma Tribe.
 
Atakuwa mzee Masinde ambaye ni Mkara kwa kabila na kuzaliwa
 
Zawadi hii yenye maana nzito sana amekabidhiwa Mwamba Mbowe na Wazee wa Kata ya Igombe wakati wa Kikao cha ndani cha Operesheni Haki kwa majimbo ya Nyamagana na Ilemela.

Kwa niaba yangu na familia yangu nachukua nafasi hii kuwashukuru Wazee wa Mwanza kwa zawadi hii kwa Mwamba Mbowe ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa Mwamba katika kupigania Demokrasia nchini Tanzania.

Wazee ni Hazina.

Dada acha kudanganya umma na propaganda zenu. Igombe hakuna wafugaji wa ng'ombe bali wavuvi tu. Huyo ni ng'ombe wakununuliwa na watu wake hapa Mwanza ukibisha namtaja jina na ng'ombe huyo wamazingaombwe alikonunuliwa. Wakadanganye Kyela na Tukuyu dada! Eti wazee wa Mwanza!!
 
Angekuwepo Mwendazake angewalazimisha wazee hao wamkabidhi yeye na sio mpinzani.
Mwendazake alikuwa mkabila sana,alitaka kutupereka kwenye siasa za kikabila za Kenya,ambapo Mkikuyu kumpigia kura Mkalenjin,au mluo Ni Swala linaloshangaza na ni jipya sana kwenye macho ya Wakenya wengi,
Huku kwetu swaaafi,Mangi anachota kura kutoka kwa ngoshaaaas
 
Zawadi hii yenye maana nzito sana amekabidhiwa Mwamba Mbowe na Wazee wa Kata ya Igombe wakati wa Kikao cha ndani cha Operesheni Haki kwa majimbo ya Nyamagana na Ilemela.

Kwa niaba yangu na familia yangu nachukua nafasi hii kuwashukuru Wazee wa Mwanza kwa zawadi hii kwa Mwamba Mbowe ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa Mwamba katika kupigania Demokrasia nchini Tanzania.

Wazee ni Hazina.

Siasa za uongo na kiki,unamtafuta ng'ombe mwenyewe na unaandaa wazee ili wakukabidhi
 
Wanaotukanwa ni Sukuma Gang.....Kuna sukuma gang na Sukuma Tribe.
Daah, Wasukuma ndio wenye kushika umoja wa nchi hii, muwatukane nyinyi halafu wawape ng'ombe nyinyi

Kwetu Hai, kuliko wachaga wengi, lkn ukweli kabisa, Sisi wachaga, tumejitofautisha Sana na makabila mengi ya nchi hii, ni wabaguzi wa wawaziwazi kabisa, mfano mdogo kabisa, nadhani tunakubaliana na kila mtu aliyewahi kufika kwetu atakuwa amewahi kujionea haya

Mgeni akija kwetu, Akafungua Duka/biashara, nakwambia hata akiwa na bidhaa zinazohitajika Kwa eneo Hilo, mtu Yuko tayari kutembea klimoita moja kwenda Kwa mchaga mwenzake kufuata bidhaa ambayo IPO kwenye Duka la jirani yake, shida tu eti siyo wa kabila lake, wakati mwingine huwa nasema, ukitaka kukawia kuendelea, kafungue biashara zako Hai kwetu utakaa sana

Ni tofauti kabisa na makabila mengine kama Wasukuma n.k hawana huo ujinga wetu

Najaribu kujitofautisha na misimamo ya mababu zetu zilizopitwa wakati ili tuwe Taifa moja lenye tofauti ya makabila, nitaendelea kujifunza Kwa Wasukuma na kwingineko, nadhani pia, nitakuwa balozi nitakayehakikisha kabila letu linaondokana na ubaguzi huu,

Mbowe nitaendelea kumpinga popote pale, hasa kwenye kuendekeza ubaguzi wa wawazi Kwa Wasukuma na bahati nzuri Rafiki zangu hawa wasukuma wamemfanya ajishitaki moyoni, kawasema vibaya, wakamtendea mema

Sukuma hoyeee!!
 
Back
Top Bottom