Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,431
Ikiwa leo ni siku ya Wazee ya Kidunia ,, Kitaifa jambo hilo linawakilishwa na Wazee wa Chadema (BAZECHA) , hii ni baada ya Wazee wa vyama vingine kugeuka Chawa wa Watawala , na linafanyika Zanzibar , Tayari Mwamba wa Siasa za Tanzania , Ustaadh Aboubakar Mbowe amewasili Zanzibar kwa ajili ya Jambo hilo , ambako amepangiwa kuhutubia Taifa .
Hivi ndivyo alivyopokelewa kwa kishindo .
Hivi ndivyo alivyopokelewa kwa kishindo .