Freema Mbowe ni Mtoto wa mjini, true hustler...

Freema Mbowe ni Mtoto wa mjini, true hustler...

Nadhani JK ni mtoto wa mjini zaidi tena sio miji ya upcountry bali ya Pwani. Tumeona anavyoweza kubadili upepo fasta; chuki ikageuka furaha na nderemo. Msishangae EL akaitwa Ikulu na picha lote likageuka chenga, chezeni na jamaa.
 
Angekuwa anajiamini asingemtengenezea zengwe marehemu Chacha Wangwe na ZZK
 
Yuko vizuri na akiongea kweli anapata attentions ya watu hata bungeni alikua akiongea kunatia na usikivu juu. He is real blessed honestly,ka Nyerere vile ndo kiongozi anavotakiwa.
 
Slaa, Mnyika na wengineo hawajambooo, na wako bizeee na majukumu mengineee.
Msiwe na shaka, jana ilikuwa ni mgawanyo wa kazi tu.
 
huo ndio ukweli...lile punyeto la nape analotegemea kuzaa goli la mkono alifanyie huko huko bafuni....tatizo kina nape hawaweki akiba ya maneno...
 
mabadiliko gani dunia hii mkuu?...yote maisha,maisha yataendelea kuwa kama yalivyo.mbowe kaona oppotunity ya kukamata madaraka anaitumia vyema.
anaweza kufanikiwa ama hata akifail atavuna wabunge wa kutosha kwenda sawa na chama tawala.


huwezi kukamata madaraka kwa kutoa vitisho vya kisasi,kwani waliopo madarakani watafanya juu chini usiyapate madaraka.

mbowe kusema chama chao si cha kisasi ana maana yake,kwani chadema wamo mahardliner wenye siasa za kihasama....

Alichokuwa anafanya jana Mbowe ni kuondoa wazo kuwa CHADEMA ni extremist

Ukiwa extremist huwezi kupewa dola

Lazima uoneshe unaweza kuwa na Compromise

Nadhani Mbowe amejifunza kuwa kama Chama kingejipambanua kwa siasa safi za kutochafua watu....leo hii asingekuwa anaambiwa kuhusu kulamba matapishi
 
Mmh mkuu let us wait and see aisee, eti mi nahisi ndo watapungua sasa wabunge wa upinzani


Hawezi kupungua wamejipanga sana. Huoni wanavyocheza rafu hao CCM ni kupigana tuu yaani wapigwe tuu...ZZK najua kinamuuma kutokuwepo UKAWA ila nina imani kitaeleweka tuu
 
Hamna hata moja la maana la kumsifia, unamsifia kwa mambo yanayoharibu jamii na maadili ya Kitanzania?

Amma hakika leo hii Tanzania mtu unamsifia uharibifu? kweli hili ni Taifa lililokosa misingi ya uadilifu.
 
Uko sahihi mkuu The Boss

Nimekuwa nikisema na nitasema tena na tena kwamba kuna uongozi wa kipaji ambao ndiyo uongozi haswa. Mengine yanakuwa maigizo + copy and paste.
 
Last edited by a moderator:
Katika watu ambao historia itapaswa iwaandike vizuri kipaji.ujanja na uwezo wa kufika mbali kisiasa Freeman Mbowe anapaswa kuandkwa vizuri sana ukitazama historia yake utaona huyu jamaa ni 'mtoto wa mjini' kikweli kweli na watu wanao jaribu kum underestimate wengi huishia kulia.. huyu ni true hustler.

Kutoka kumiliki Billicanas Club na kufanya tu starehe na kuoana 'opportunities' za kila aina kwenye siasa za TZ na ku risk yote ambayo ame risks si jambo dogo.

Watu hupenda kufatilia historia za Marais au watu wanaofanikiwa kuchaguliwa ila ukitazama siasa za TZ Mbowe siku zote 'anacheza kama pele' Ndo maana ndani ya CHADEMA mbowe ana marafiki nje ya CHADEMA wa kila aina wengine hawawezi kukaa pamoja lakini yeye wote 'washkaji zake' there is something about him ambacho Slaa hana,Tundu Lissu hana, Zitto hana na wengi tu wengine Ukisikia 'mtoto wa mjini' ndo watu kama Mbowe.

Unaweza Kwenda Shule Ukajikuta Muda Mwingi Unajifunza Kusoma Wakati Wenzio Wao Wanasoma Kujifunza.
 
Hamna hata moja la maana la kumsifia, unamsifia kwa mambo yanayoharibu jamii na maadili ya Kitanzania?

Amma hakika leo hii Tanzania mtu unamsifia uharibifu? kweli hili ni Taifa lililokosa misingi ya uadilifu.

Nimemsoma sana Robert Greene. Ameandika kitabu kinaitwa 33 STRATEGIES OF WAR. Law #2 inasema: LEARN HOW TO USE YOUR ENEMIES. Aya moja ya sura hiyo inasomeka hivi: "...Hire a former enemy and he will be more loyal than a friend, because he has more to prove..." Kwanini mwandishi huyo anasema hayo? Kwa sababu, anaeleza, "...you have more to fear from friends than from enemies. If you have no enemies, find a way to make them." Namwamwini sana mwandishi huyo kutokana na utafiti wa MASHIKO aalioufanya. Kwa hiyo naona, kwa kutambua au bila kutambua, CHADEMA wametumia RULES #2
 
Hamna hata moja la maana la kumsifia, unamsifia kwa mambo yanayoharibu jamii na maadili ya Kitanzania?

Amma hakika leo hii Tanzania mtu unamsifia uharibifu? kweli hili ni Taifa lililokosa misingi ya uadilifu.

Tu assume uko sahihi ni mharibifu
but now ndio kiongozi wa chama kikuu cha upinzani
anashiriki kupanga sera za ku shape nchi
anaongoza wabunge wanao influence future ya taifa la watu zaidi ya milioni 50
wale ambao unadhani wanafaa wanamsikiliza yeye
sijamsifia exactly nilichosema mtu kama akiandika biography ya Mbowe..
lazima ukubali katoka mbali hadi kufika hapo alipofika....huwezi ignore his personal achievements na influence yake
katika siasa za Tanzania....
 
Mbowe ni jabali , kwa sasa hakuna kama mbowe in the whole of sub saharan africa...sijue. Ni kwa juhudi kubwa za cdm chini ya mbowe zilizoibomoa ccm kabisa, na baada ya uchaguzi ccm itakuwa chakali

Kama kuna list ya majemedari wa taifa hili mbowe atakuwa second from nyerere
 
Back
Top Bottom