ahahaha mwaka huu nyinyiemu mtapata preshaOna hili nalo!!
Dah...ila Mbowe...nafikiri ni robot lililochongwa na TISS....sometimes hainiingii akili kabisa jinsi siasa alivyozipindua since 2005....
Jyce Mukya ndo amemtengeneza
Mbowe hao wasomi wote kina Baregu,Safari Slaa Tundu Lissu wote yeye ndie boss wao
yeye ndo Tajiri wa chama na anachokifanya hakuna wa kukipinga
Zitto alijaribu but kashindwa.....tofauti ya Mbowe na hao wote ni kuwa Mbowe ni 'mtoto wa mjini'
mbowe hana matatizo sana,
slaa,lema,msigwa watu wa siasa za kihasama...
intelijensia yako inasemaje kwa sasa? baada ya tukio la leo!Jyce Mukya ndo amemtengeneza