hiv siwez pata angalau ualim au medical lab jmn
Mpeleke chuo cha ufundi. Ukitaka chuo kizuri n mp nitakuelekeza
pia nami nahitaji msaada dogo langu kapata iii~25 ana 'c' ya history 'c' ya kiswahili na 'c' ya biology masomo mengine ana 'd' je anaweza kwenda kidato cha tano,?
aisee mkuu achana na hiyo mambo ni bora aende ufundi.. yaani mtu amalize form 4 halafu arudie form one..? do you know how much stressful is that????
Nakuunga mkono mkuu kurudia form one Ni upotevu wa muda ufundi is the best option kwake
ASIKUDANGANYE MTU. UALIMU HAPATI KWA POINTI HIZO. DIPLOMA IN PRIMARY ED CUT OFF POINT NI DIV3 YA25.kaka angu ualim sawa, afya huendi
ili uweze kwenda adv lazima uwe n credit yaani c zisizo pungua tatu haujafikisha c tatu Fanya mpango wa chuo/college kwa marks zako unafaa kabisawakuu nina mpango wa kwenda advance private nina div 4 ya 26 mwaka 2016 kama ifuatavyo,
Biology D
Chemistry D
Geography D
History D
English D
Civics C
Kiswahili C
Physics F
Maths F
wakubwa nisaidieni tafadhali...
hicho kitu siku hizi hamna mdogo wangu una reset kwanza upate credit ndipo uendelee na advance.niliskia watu wakisema kwamba kuna effects nikienda advance huku niki reset credit moja
interesting point ikoje hiyo koz and vigezo,college gan inatolewa?
ASIKUDANGANYE MTU. UALIMU HAPATI KWA POINTI HIZO. DIPLOMA IN PRIMARY ED CUT OFF POINT NI DIV3 YA25.
Mkuu naomba chanzo chako habari kuhusu hii,kwamba credit Za kuungaunga hazikubaliki tena ili niweze kusaidia watu maana shule nyingi za private bado zinatumia hii.mkuu utaratibu wa kuwa form 5 at the same time unarisit ulisha badilishwa kitambo na wizara kwanza una clear then unaendelea labda kama mtu nafanya ivo kimagamashi,take my note
wakuu nina mpango wa kwenda advance private nina div 4 ya 26 mwaka 2016 kama ifuatavyo,
Biology D
Chemistry D
Geography D
History D
English D
Civics C
Kiswahili C
Physics F
Maths F
wakubwa nisaidieni tafadhali...
sawa sawa kaka na nikirudia kutafuta credit nafanya masomo yote? na kama nikitaka collage nisome mambo gan kulingana na perfomance hyo