Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

kuna msichana ana credit mbili, je anaweza kusoma form five huku ana resit ili kupata tena zile credit mbili?
mimi naona kama ana pesa ajiunge na vyuo kama ifm, cbe etc ,certificate , then diploma kuliko kurudi /reseat ,kwasababu akimaliza diplo anaweza akapata ajira kuliko akimaliza form six
 
Habarin wadau' ndugu zangu nimepata F26 ikiwa km ifuatavyo kimasomo geog-D,HIST-D,MATH-F,CIV-C,ENGL-C,BIOS-C na KISW-D,kwa ushauri na maon nini nifqnye karbun sn!
Ungekuwa umesoma physics ningekushauri kitu
 
jamani msaada rafiki yangu kapata div 3 ya 24 Bios C phy D chem D Kisw D Hist C civ C Eng C Geog D .. Anapenda sayansi na pia hata chuo kma inawezekana lkn.. Ihuxu science .. Mxaada plz
Math umepataje!?
 
unatakiwa Uwe na ufaulu wa biology D au C.
hiyo kozi inapatikana ktk vyuo vyote vya afya gov au private
Na hii kozi ukitoka unapata ajira moja kwa moja au? Na ina diploma yake na kama haina unaweza kuendelea na koz gn ngaz ya diploma?

Ahsante!!
 
Na hii kozi ukitoka unapata ajira moja kwa moja au? Na ina diploma yake na kama haina unaweza kuendelea na koz gn ngaz ya diploma?

Ahsante!!
hiyo ni kozi mpya kuhusu dip yake sijajua kwasababu imeanzia cert .lakini lazma itakuwa na mwendelezo wake
 
hii special thread inatoa muongozo kwa wale form four wote wanaohitaji kujiunga na vyuo vya afya katika kozi za nursing,clinical medicine,community health,pharmacy,lab kwa ngazi ya diploma na certficate,
na vyuo vinavyotoa hizo kozi.asanteni
 
Jaman wana jukwaa naomba mnisaidie nmepata DIV.2.. eti kwa alama hz naweza unda comb. ipi Ya science.
Bio.C Chem.C Geo.D B/math.C Phy.D mengne yote Ya art nmepata C ushaur jaman.
 
ushaur wangu soma chuo,tafta cert,then diploma na .........BT KURIST UNAJITAFTIA MOTO NIULIZE MIE NILIESOTA NIKAJIFUNZA WANANGU HAWATARISIT BORA ARUDIE FORM TWO
Kufikiri nje ya box kipaji. Tafuta course ambayo unaipenda anza nayo certificate then diploma lastly degree ila kurudia hata mi nilirudia nakumbuka ule msuli sijawahi piga katika level yyote ya masomo yangu kuanzia advance wala B.A yangu naam hata masters. Kuresit kunaweza kukufanya hamna aiseh
 
Kuna dogo mtaa kwangu kapata 32 mama yake alikuwa anamuuliiza jirani yake anaweza kumtupa wapi huyu? wajuzi hebu nijuzeni anaweza kuendelea na nini huyu?
Huyu amepata karibia na sifuri...mshauri kwanza arudi shuleni tena....
 
Back
Top Bottom