ana D moja tu zilizobaki zote Famevurugaje
Asante.yani hapo ndio kisw gani umeandika? unaweza ukakuta hawa ndio walimu wanaotufundishia watoto.....kweli mtoto atashindwa kuandika kama mwl wake anavyoandika kwenye mtihani! yani sipendi aina hii ya uandishi basi tu!
Kwani wewe unapenda kusoma nini?Habarin wadau' ndugu zangu nimepata F26 ikiwa km ifuatavyo kimasomo geog-D,HIST-D,MATH-F,CIV-C,ENGL-C,BIOS-C na KISW-D,kwa ushauri na maon nini nifqnye karbun sn!
Soma HGL au HKL, ila lazima iwe private maana huwezi kupata nafasi serikaliniHabarin wadau' ndugu zangu nimepata F26 ikiwa km ifuatavyo kimasomo geog-D,HIST-D,MATH-F,CIV-C,ENGL-C,BIOS-C na KISW-D,kwa ushauri na maon nini nifqnye karbun sn!
Habarin wadau' ndugu zangu nimepata F26 ikiwa km ifuatavyo kimasomo geog-D,HIST-D,MATH-F,CIV-C,ENGL-C,BIOS-C na KISW-D,kwa ushauri na maon nini nifqnye karbun sn!
interesting point ikoje hiyo koz and vigezo,college gan inatolewa?achana na mambo ya ualimu wa primary'kuna kozi mpya ya afya community health jaribu kuomba.