Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

jamani msaada rafiki yangu kapata div 3 ya 24 Bios C phy D chem D Kisw D Hist C civ C Eng C Geog D .. Anapenda sayansi na pia hata chuo kma inawezekana lkn.. Ihuxu science .. Mxaada plz
 
Nina mdogo wangu wa kike ame-reseat mwaka jana na amepata division four ya 31 km ifuatavyo: HIST-D, KISW-D, ENG-D, LIT IN ENG-D, GEO-F, CIV-F NA MATH-F. Mwaka jana alipokuwa mtahiniwa wa shule alizungusha yaani alipata division zero. Naomba mnisaidie ni koz gan nzuri ya kusoma kwa ngazi ya cheti ambayo itamsaidia kujiajiri au kuajiriwa kirahisi, sio kozi ya kusoma kisha akae mtaani tu bila ajira. Pia mwenye kujua taratibu za kujiunga na polisi nae nahitaji msaada wake.
 
Unaonesha chaguo lako ni polisi.
Labda kwa kukushauri muhurize kwanza yeye usimchagulie maana uwenda ana mapenzi yake usimwalibie kipaji
 
Habari Wakuu nna ndugu yangu amepata div 1 hvo nilikua naulizia jinsi ya kujiunga na marian girls , st joseph na st mary goreti n cannosa
 
Haya matokeo ndiyo hayo yametoka!! Kila kitu hadharani, sasa ukiwa hapa JF ndo mpango nzima!! Manake watu washaanza kuhoji, mi nina hiki au kile nitafanyaje, haya ngoja nitajaribu kuweka mwongozo na alternatively nyingine due to spme perfomances kwa wote, manake naona huku kitaa watu wanadanganyana sana!!

Hii ni kwa kadri ninavyofahamu mimi, kama kuna marekebisho basi yafuatie:

=> Credit Qualification kwa hali ya kawaaida ni 'C'-Na ili uende Form 5 unahitaji uwe na C 3, hapa ni either umebalance Combination(Comb) au hujabalance. Sasa kama una C 3 na comb hujabalance, hautachaguliwa serikalini bali shule binafsi utaenda kusoma mchepuo utakaofanana na masomo yako.
[ Mfano: Civ-C, Kisw-C, Geo-C...unaweza fanya HGK ama HGL ama kozi nyingine hata kama english na History una D].

=>Ukiwa na C 2 na D kadhaa(lets say 4 ya 26), hapa utaweza kwenda Form 5 shule za Private lakini utatakiwa utafute C ya 3 kw kureset wakati upo form 5. Same na C 1 You need to re-sit.

=> Hapa sasa ndipo kwenye utata. Ukiwa na D 3, kiukweli sahau Form 5 kama hauhitaji kurisit, sasa qualification hizi zina option zifuatazo:
1. Unahitaji kupiga long pass kwa kwenda Chuo kwa ngazi ya Certificates. Duraation ya hii kozi ni 1 year Certificate. Sasa hapa kuna vyuo kadhaa vinavyotoa certificates. Hapa ni D za masomo yoyote yale Basic(sina uhakika kama B/Knwoledge na Islam zinazingatiwa na ndio maana nasema D za Basic Subjects)
Mfano: Unaweza kufanya Certicates vyuo vya CBE-Mambo ya Biashara, IFM, TIA, Utumishi wa Umma(Public Service) Vyuo vya Kilimo na Ualimunk.
Nakozi nyingi tu wanatoa kwa certificates..mfano Procurement, Accounts, Public Admistration, Recording, Clearing and Forwarding, Social Development, Secretarial Duties, Education nk.

=> Ukiwa na D 4 upo qualified kufanya ngazi ya certificate kama nilivyoanisha hapo juu.

=> Ukiwa na D 5 sasa hapa wewe umeula!! Hapa unaruhusiwa kabisa kufanya Basic Diploma katika vyuo vyote wanavyotoa Duploma. Kwa mfano vyuo hivyo nilivyovitaja hapa JUU, chukua form yako kwa maringo achana na biashara ya kurisit omba kozi ya diploma, Teana kama una D ya hesabu na English ndo inakuwa rahisi zaidi kuchukuliwa.

=> Kwa wale waliosoma mahesabu kuna vyuo vingine kama DIT(Daar Institute), AIT(Arusha Inst) na Mbeya Tech Msishau kufanya maombi, na kwale waliopiga fresh Biology with minimum of D angalieni option za Nursing ni nzuri sana na katika vyuo vya MATC na COTC.

Kama kuna marekebisho yanakaribishwa na kama hoja ama daubt basi uwanja ndio huu. Most welcome!!

UPDATE:


2i9m911.jpg

jidhjp.gif
mwenye 3 ya 26
civ c
bios b
chem c
geog c
hist c
engl b
math d
kisw c
je anaweza kuchaguliwa govment wakuu nisaidieni.
 
mkuu tt boy sizinga kwnye hcho kifungu na2. mbn nackia hyo system hakuna ckuiz na mm nna hzo credit 2 na d kama 5 iv
 
Habari Wakuu nna ndugu yangu amepata div 1 hvo nilikua naulizia jinsi ya kujiunga na marian girls , st joseph na st mary goreti n cannosa

Unachotakiwa kufanya ni kuchukua fomu unajaza halafu huwa kuna siku ya kufanya mtihani wa kujiunga.Huwa hawaangalii tu pass alizopata lazima afaulu na mtihani wao pia.

Kama uko dar es salaaam au una ndugu Dar es salaam form za Mary gorreti na Marian girls zinapatikana Msimbazi centre .
Marian Girls ofisi yao ipo pale lango kuu la kuingilia msimbazi centre upande wa kushoto.Form za mary goreti zinapatikana kule ndani msimbazi centre karibu na Jengo la kanisa la msimbazi centre

Fomu za kujiunga na ST joseph HUWA ZINAPATIKANA OFISINI kwao Pale ST joseph shuleni Opposite na kanisa la ST joseph POSTA ya zamani na pia hupatikana shuleni kwao.

CANOSSA fomu zao zinapatikana shuleni kwao kule maeneo ya TEGETA,DAR ES SALAAM
 
Ni second choice km chuo hakitaeleweka. Ni machaguo yake binafsi 1 ni chuo na 2 ni polisi
 
Habarin wadau' ndugu zangu nimepata F26 ikiwa km ifuatavyo kimasomo geog-D,HIST-D,MATH-F,CIV-C,ENGL-C,BIOS-C na KISW-D,kwa ushauri na maon nini nifqnye karbun sn!
Kama ni chuo nenda muhimbili ila kma unaona vip nenda form 5 privet
 
k5 ni noma sn wazeee labda tusubir hy mwez wa nne mungu akijal lkn nikufikiria kidato cha tano ni mtihan mwingine kbs
 
Back
Top Bottom