Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Certificate y, nursing, lab tech, ualim private anapata cz govt hope itakuw mwsho 27
 
Certificate y, nursing, lab tech, ualim private anapata cz govt hope itakuw mwsho 27


Acha kupotosha mkuu,Laboratory Technician ama Nursing wanaangalia ufaulu wa masomo ya sayansi...japo uwe na D ya biology,chemistry na physics.Hawaangalii point ya ufaulu..
 
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'D' BIO - 'C' AGRI - 'F' B/MATH - 'F Je anaweza kusoma medical assistant?
 
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO -
'D' KISW - 'C' ENGL - 'D'
PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO
- 'D' B/MATH - 'F'

Huyu anaonekana ana akili hizo D ana uwezo wa kuzisafisha zikawa C angerudia mitihani ingekuwa bora zaidi.akaenda kidato cha tano course ya HGK,HGL au akachukua diploma yoyote.Nashauri arudie mitihani.Ila sasa ajitahidi kusoma.Shule iwe shule kweli
 
Huyu anaonekana ana akili hizo D ana uwezo wa kuzisafisha zikawa C angerudia mitihani ingekuwa bora zaidi.akaenda kidato cha tano course ya HGK,HGL au akachukua diploma yoyote.Nashauri arudie mitihani.Ila sasa ajitahidi kusoma.Shule iwe shule kweli
Asante sana kwa ushauri mkuu, nitaufanyia kazi
 
Asante sana kwa ushauri mkuu, nitaufanyia kazi


Achana na maswala ya kurudia mitihayo hayo yashapitwa na wakati...mark zake zunamruhusu kuendelea sio kurudia. Mpeleke asome certificate ama diploma. Ila ningekuwa mimi ndo mwisho hapo ningempeleka akasomee vitu vinavyoeza kumfanya akajiari mfano ufundi. Ufundi wa magari unalipa sana hapa mjini
 
Achana na maswala ya kurudia mitihayo hayo yashapitwa na wakati...mark zake zunamruhusu kuendelea sio kurudia. Mpeleke asome certificate ama diploma. Ila ningekuwa mimi ndo mwisho hapo ningempeleka akasomee vitu vinavyoeza kumfanya akajiari mfano ufundi. Ufundi wa magari unalipa sana hapa mjini
Asante mkuu, well noted
 
Mpeleke aanzie form three mwakani arudie kama yupo makini atafanya vizur kashaonja utamu wa ndalichako
 
Mi namshaur arudi clas, dogo huyo anauwezo wa kupata credit nyingne akaendelea form 5,, lakin ajitahidi sana awe sirias na kitabu
 
Ualimu kwa sasa hawezi akachukua kabisaaa kwa ufaulu huo tena haijalishi ni private au government mana sheria zinazowaongoza ni sawa ualimu kwa sasa ni kua mwombaji awe amepata kuanzia daraja la 1 hadi 3 kwa diploma of primary education tu na sivinginevyo aisee...so ajaribu kwenye fani zingine tu...
 
Naomba kufahamu vigezo vya kusoma diploma na certificate kwa mwanafunzi mwenye cheti cha form 4 kwa vyuo vya biashara kama TIA na CBE.
 
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F

Division Four ya 29 , anaweza kusoma nini huyu?
 
Tumekuwa tukilazimisha mtu akomae na asichokiweza, mfano kwa usimamizi wangu ningegundua mapema huyu dogo chemistry, physics na maths hayawezi, so mapema ningemshaur apige chini chem na phys ili hiyo nguvu aielekeze kwenye masomo mengine, hili ni funzo kwa wengine
.anyway atafute certificate yoyote then baadae atapata qualification za chuo
 
Mdada wa miaka 17 kupata 0 form 4,ni vema mpate muda wa yy kujikubal na kuachnowladge hayo matokeo. Na awe vigilant ku realise and recognise core factors zilizomfanya aface those poor results. Hii itamsaidia atakapo rud class aweze kuonyesha man's ability and man's resilience to rise from the ashes of destruction.
yani hapo ndio kisw gani umeandika? unaweza ukakuta hawa ndio walimu wanaotufundishia watoto.....kweli mtoto atashindwa kuandika kama mwl wake anavyoandika kwenye mtihani! yani sipendi aina hii ya uandishi basi tu!
 
Back
Top Bottom