capacity charge
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 352
- 489
Siku hizi watoto wanamaliza form four wakiw bado wadogo kiasi hata kumpeleka ufundi anaweza shindwa hata kushika spana, randa, koleo nk binafsi nakushauri urudie form one hata mrisho mpoto aliwahi imba kuanza upya siyo ujinga..!